Recent content by furaha88

  1. F

    Halima Mdee: Mtaji wako nini hasa? Kawe maendeleo yamedorora miaka mitano sasa

    Ubunge sio kelele bungeni ni vitendo jimboni kwako
  2. F

    Halima Mdee: Mtaji wako nini hasa? Kawe maendeleo yamedorora miaka mitano sasa

    Ukifika tegeta msikini unaomba uchaguzi uwe mda huohuo ufanye uamuzi sahihi kwa mdee tulikurupuka ni matatizo maji machafu madimbwi hata gari kubwa hazipiti
  3. F

    Natafuta mfanyakazi wa ndani(house girl) mshahara mnono

    Aje awe mwalimu wa tuishen au ?
  4. F

    Natafuta kazi nina diploma ya marketing

    Na diploma ya marketing hali ni mbaya jamani kazi yoyote nafanya ilimradi nisivunje sheria ya nchi Mwenyekibarua yeyote ani pm hata temporary nakoelekea nahisi kuwa omba omba barabarani
  5. F

    Natafuta Kazi...

    Na diploma ya marketing hali ni mbaya jamani kazi yoyote nafanya ilimradi nisivunje sheria ya nchi Mwenyekibarua yeyote ani pm hata temporary nakoelekea nahisi kuwa omba omba barabarani
  6. F

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    Hata sijui habari zake kwa kweli ashura ndo nilimuona kaolewa makambako
  7. F

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    Mjujulu mama mbea yule hata sitaki kwa kwwli alipewa hela na baba aniletee kwanini asile halafu kanichunia mpaka baba alivokuja ndo najua nilimkomaliaje ingawa baba alinambia niachane nae
  8. F

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    Nilianza mdete nikaenda manyunyu nikarudi mtwango kwa baba mbunda jaman njombe kuzuri wikiendi makambako hadi mbeya kujirusha au mafinga shimoni ujana maji ya moto na turbo pia
  9. F

    Being in Njombe, ushawahi ishi, soma, fanyia kazi au hata kupita maeneo haya?

    Mama widambe nasikia kafulia mpaka gorofa alilojenga la kuishi kapangisha nimesoma manyunyu lupembe niliipenda inakila aina ya chakula.kwa mie mama misosi nilienjoy pale
  10. F

    Kilichotokea Mbeya leo hii ni funzo kwa wasomi njaa

    Sijaelewa hivi wasomi ni bora zaidi enheee au unamaana gan etii
  11. F

    Wasichana wa Kazi na akina mama, Tatizo nini?

    Yani wanaboa sana kuna siku dada anaumwa nimempa hela ya matibabu wifi nilivotoka kapunguza halafu kiwifi chenyewe ni kitoto tu cha 1992 nilikasirika sana anamwambia mtu kama yule hawezi kutibiwa hela kama ile
  12. F

    Wasichana wa Kazi na akina mama, Tatizo nini?

    Ukifatilia wanaowanyanyasa wa dada wa kazi ni wale walioishi maisha magumu mdada kaja kumjua ukubwani ndo inakua shida mfano mzuri mi ni wifi yangu ametoka zake kyela huko naishi nae na kakake si kaja kaanza kuninyanyasia mdada mpk mdada kaondoka na kaenda kuwambia kwao wifi yake ni mkali...
Back
Top Bottom