Kikwete alikuwa wapi wakati nyumba za serekali zimauzwa kama njugu, Kikwete alikuwa wapi wakati kinanunuliwa kivuko cha mv Dar, kibovu kuliko vyote dunian.
Chadema kinaenda shimoniii??!!
Labda haupo apa nchini, kivipi sasa?? Kwa kunyimwa kufanya mikutano iliyo ainishwa kwenye katika? Viongozi wake kupewa kesi za uchochezi pindi wakikosoa serikali ya chama unachohihi akitokufa??
Fuatilia kwa undani ndipo utajua CCM ndicho kinachokufa, ss iv n kwa...
Mbona hao wanaohamia Chadema wemetoka chama kinachoshika dola!!?
Maana yake majizi na Mafisadi ndio walioshika dola, wakiamiawote na Chadema itashika dola.
Kwanza umesha waita watoto, siku zote maamuzi ya watoto yanakuwa si mazuri bila usimamizi.
Watoto wanarubuniwa, wanabakwa, na wanakutana na vishawishi ambavyo hata watu wazima saa nyingine vinawashinda.
Swali kwani watoto waliojifungua ukiwapa elimu unapata hasara gani?
Mimi nitamwamini Tundu Lissu, kwa sababu sheria zinasema mali inayo chibwa ni mali ya mwekezaji, na serekali inachukua %4 ya mapato.
Hata kama ni ww upate %96 utatamani tena hata iyo 4? Mikataba mibovu ndiyo inayo tuibia pamoja na watu tulio wapa dhamana ya kisimamia..
Ukweli mm cjapenda Mbowe alivyo mjibu Makonda, kwan mm naona kama mchezo mchafu unaochezwa na Makonda unatakiwa utumie akili sana. Makonda hajamtaja mtu mmoja mmoja na tuhuma zake, alichofanya Makonda kataja wote kwa pamoja bila kusema ww fulani una UNZA , UNATUMIA, au KULISAIDIA JESHI KUPATA...
Mr. Magu alivyo ingia madarakani alianza na mikwara sana, ukweli kila mtu alijaa hofu, si wafanya biashara si watumishi. Kwa hiyo watu wamelipa malimbikizo yao kwa kuogopa, ila sikilizia mwaka huu kama TRA watatangaza tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.