Mbona hao wanaohamia Chadema wemetoka chama kinachoshika dola!!?Msafara wa mamba na kenge wamo!
huu ni ukweli usiopingika chadema kinasajiri watu wachafu ndio mana kitasubiri sana katika kushika dola
Umenikumbusha mbaaaali sana,kesiy ya mwalimu na mzee Kambona.Risk assessment ni muhimu mkuu.Wakuu
kwa haraka na mshitukizo, baada ya Lazaro Nyarandu kuachia ngazi aliomba kusajiriwa na chadema, bila ajizi chadema kimesajiri
Kuanzia mtaani hadi mitandao naona watu wanashangilia usajili huu, ukweli mchungu usajiri wa watu calibler ya Nyarandu hautakisaidia chama kushika dola katika nchi hii
Kwa hali ya siasa ilivyo hapa nchini, chadema kinahitaji kusajili wanachama wasafi wasio na kando kando ya ufisadi
Kila mtu ni shahidi, humu leo baada ya kujitangaza tu Nyarandu amechimbwa sana na madudu yake aliyokuwa akiyafanya kipindi cha uwaziri wake yamewekwa wazi
Sasa kwa style hii chama kitakuwa kinatumia muda wake na nguvu nyingi kumnadi huyu mtu kama ilivyokuwa kwa waziri mstaafu Lowasa(angepaswa kuwa rais)
Chadema kiwe makini na usajiri wa hawa watu kama kweli kinania ya kuchukua dola toka ccm
Amekimbilia chaka la majizi mkuuAliiba kipindi gani? wakati yuko na nyie wezi au baada ya kuhama? Au mmemfukuza nyie? vp kama aliiba kwa ajili ya chama? usijali ni utani tu
Amekimbilia chaka la majizi mkuu
C unajua ccm kwa sasa majizi hayatakiwi
hujajibu swali bali umeongeza swali lingine,je si hawa ndio walikua wanaiponda ccm chafu leo iweje wamekubali kufanya kazi na hao wachafu??CCM kupokea viongozi na kuwapa "madaraka nyeti" kutoka ACT-Wazalendo inamaana ACT ni nzuri sana?
Inamaana CCM hakuna MTU kama Kitila na mama Anna!
Kwanini wewe usijibu utake Mimi nijibu au wewe ndo mleta mada?hujajibu swali bali umeongeza swali lingine,je si hawa ndio walikua wanaiponda ccm chafu leo iweje wamekubali kufanya kazi na hao wachafu??
Amekimbilia chaka la majizi mkuu
C unajua ccm kwa sasa majizi hayatakiwi
usajili ule na anguko hili linalowakuta sasa unalisemea vipi?CCM Wanajipa moyo tu, kwani hata wao wanajua wameshachokwa kabisa na mbele yao kuna anguko kubwa lina wangoja.