Recent content by funguotatu

  1. F

    JamiiForums Tanzania Ubora duni wa majibu na hotuba ya Rais wetu

    I Wapumbavu huwa hawapendi kujielimisha, wakikipata kile kinachowapendeza masikio yao hutoa hukumu ya kinafiki. Utatoaje hukumu kwa kitu usichokijua? Jipime ww mara ngapi umepokea hukumu za aina hiyo. Je ulijisikiaje hasa unapokuwa huwezi kueleza ukweli kwa wanaokuzushia uongo? Acheni hizo.
  2. F

    JamiiForums Tanzania Question from Ms Christine from BBC News to Pres. Kikwete about HUMAN TRAFFICKING...

    Wachangiaji wengi wanaodai eti ohh rais hajajibu viziri, wote ni mamburura. Diplomat was flamed. Negotiated out of court and paid his bill, what is the problem. Unadhani serikali ya marekani haijui? Sheria na haki si lazima viendane. Mmeng'ang'ania kwa agenda zenu za siri.sasa Hamna agenda.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Exclusive: CHADEMA yafichua mbinu za kukiua chama - June 23, 2013

    Hujui unachosema, China ukileta kujua sana unacheza na kitanzi au risasi. Marekani isikie kwa mbali tu ukiteleza kidogo tu na polisi umelambwa shaba. collateral damage.
  4. F

    JamiiForums Tanzania Hizi signal zinaweza kutusaidia waliohusika na bomu la Arusha juzi

    Hu Ndo maana masema analysis za kitaalam na za wapenzi wa vyama vya siasa ni tofauti. Suala la mwangosi ni exeptional case na kwa mtu timamu huwezi kulifanyia reference. Nafurahi umejikosoa mwenyewe, hata cia Huwa hawaaniki Uchunguzi wote hata kesi ikiisha, na kama unafikiri hivyo hufaham...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Revealed!! CHADEMA ilitumia mitambo maalum ya DVR kurekodi mkutano wa tarehe 15/06/2013

    Acha uongo, vídeo zilifungwa majengo jirani Kwani tukio Hilo lilipangwa mapema. Waliokuwa kwenye gari waliwapiga raia risasi bila huruma na walipofika polisi original wananchi walikuwa wameshapandwa na hasira. Yote yaliyofichika yataanikwa mchana kweupe, na ndipo utapojua kuwa tanzania kuna...
  6. F

    JamiiForums Tanzania “Jakaya Kikwete is a Four Bs”, Kagame tells his closest aides.......

    Utarudi jwenye rwanda, shame on u.
  7. F

    JamiiForums Tanzania Mtikila: Tamko DPP juu ya bomu lililolipuliwa Arusha - CHADEMA wanatafuta Ushindi kwa kura za Huruma

    CHADEMA ni hatari, aibu yenu msiizibe kwa damu za watu. Hakika damu iliyomwagika itawatafuna milele. Kumbe na Olasiti mlikuwa nyinyi. Ngoja ushahidi ukamilike. Tutaita FBI, Scotland Yard watoe Ushadi wa kipelelezi. Mnamfuata mhalifu Lema!!!! amewapoteza.
  8. F

    JamiiForums Tanzania Live Updates: Press Conference CHADEMA Makao Makuu Leo tarehe 18/06/2013

    Cdm ujanja mwingi mbele giza, arusha mlikuwa mnapigwa udiwani na ccm na cuf, kuepuka aibu mkaua só. Mmeahirisha tu, aibu itawapiga kama umande wa asubuuhi.
  9. F

    JamiiForums Tanzania Maoni ya Kambi ya Upinzani katika Bajeti 2013/14

    Hii ndo bajeti mbadala? Ama kweli ukishangaa tá musa utaona ya fraun.
  10. F

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nawezaje kupata bible ya kiswahili softcopy

    Android phones, play store. Swahili bible.
  11. F

    JamiiForums Tanzania Leo nimekutana na wazo la ajabu sikuamini

    Hakili ndogo inapojitutumua huonekana ndogo zaidi. Hivi uongo unafaida gani. Utakutesa milele, labda uwe umekufa spiritually. Kama una hoja uwe jasiri kuijenga na kuitetea. Usitunge story kuhalalisha hoja yako.
  12. F

    JamiiForums Tanzania Lema aumbuka! Namba ya simu aliyodai ya Mulongo ilikuwa ni Uzushi

    Godbless alijitumia sms hiyo mwenyewe, kama huamini muulize lema kwanini mulungo atume sms kwa neema lema badala ya godbless lema? Mbinu za kitoto na zinafahamika.
  13. F

    JamiiForums Tanzania Ya Mtwara yapelekea Bunge kuahirishwa hadi kesho; bajeti ya Nishati na Madini yaahirishwa!

    Gesi, mtwara, zaidi, Nini?
  14. F

    JamiiForums Tanzania Ya Mtwara yapelekea Bunge kuahirishwa hadi kesho; bajeti ya Nishati na Madini yaahirishwa!

    Nimemsikia waziri muhongo akisema kuwa serikali itajenga mtambo wa 400mw kufua umeme gridi itajengwa kuungalisha mikoa ya kusini kupitia songea. Viwanda vyote vya by product za gas vitajengwa mtwara, mtambo wa kusafisha gesi unajengwa mtwara, kiwanda chat cement chat dangote ni mtwara. Bandari...
  15. F

    JamiiForums Tanzania Pres. Obama to Visit South Africa, Tanzania, Rwanda, Considers Stopover in Nigeria

    Hivi Ukishasema uongo unalipwa? Acheni kujipalia moto wa jehanam kwa uongo usio na mbele wala nyuma. Uongo ukizidi unatia kinyaa.
Back
Top Bottom