Recent content by Fungomali

  1. F

    Utaratibu wa walimu kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Halmashauri ya Singida nije kahama mjini,dar she salama
  2. F

    Msaada: Tezi za shingo zinauma na zimevimba

    Naombeni mnisaidie dawa ya tezi za shingo zimevimba na zinauma sana . Leo siku ya tatu na zinasababishwa na nini?
  3. F

    Kwanini mabasi ya kampuni ya New Force yamefungwa vitambaa vyekundu kwa nyuma?

    Haya Mabasi Yanamililiwa Na Wachina 100% Juz Nilienda Kumpokea Rafki Yang Hapa Stand Ya Kahama Nikafika Ofcn Kwao Nikawakuta Wachina Wawil Ke Na Me Wanakatisha Tiket
  4. F

    Sumu au Dawa ya kuua/kufukuza Popo kwenye Majengo

    Nilifikiria Kuzba Vinjia Wanapopila Sema Kuna Watoto Wanaobaki Hawatoki Na Wakubwa Wanabaki Kama Mia Hv,
  5. F

    Sumu au Dawa ya kuua/kufukuza Popo kwenye Majengo

    Jaman Naomba Msaada Hawa Popo Wamenishnd Kuna Popo Wamehamia Kwenye Dari La Nyumba Ninayoishi Wamezaliana Sasa Ni Kero Idadi Yao Inaweza Kuwa 600 Hadi 800, Co Utan Ni Wengi Ikifka Saa Moja Ndo Wanatoka Kutafuta Chakula Bac 2nakaa Kuwashangaa,nisaidien Namna Ya Kuwaondoa Hata Kama Kuna Dawa...
  6. F

    Serikali yarudisha walimu

    Ni Kicheko Wiki Zilizopita Ilionekana Bodaboda Inapeleka Unga Pale Chuo Cha Ualimu Morogoro,, Ninachocheka Ni Kwa Bodaboda Kubeba Unga Wa Wanachuo Zaid Ya Elfu Moja, Ulienda Kukopwa Mashne Mjn,
  7. F

    Nyalandu awaasa watalii wanaokuja Tanzania kutumia ndege zinazotua Kilimanjaro

    Ufahamu Kdogo Wajamen KLM ni shirka gani? co la kenya?
  8. F

    Serikali yarudisha walimu

    Habar Wana Jamvi, Baada Ya Serikali Kushindwa Kuwapeleka Wanachuo Walimu BTP Kama Ilivyokawaida Nmepata Habari Kuwa Imeamua Kuwarudisha Nyumbani Hadi Tarehe Za Kukaribia Kufanya Mitihan Mwez Wa Tano Kwa Kukosa Chakula Na Fedha Za Btp, Tayar Chuo Cha Marangu Korogwe Na Bustan Second Year...
  9. F

    Wapi Jay Milionea?

    Wekend Vp Wana Jamvi, Huyu Bwana Jay Milionea Kapotelea Wapi Tangia Atokelezee Kule Mtwara Kwa Mhudumu Wa Guest,mbona Hasikiki Amekuwa Tapeli Tu Kila Siku,hzo Milioni 100,10,1 Za Kila Cku Ziko,wap? Bora Airtel Tunasikia Watu Wakipewa Zawadi,
  10. F

    Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

    Wakuu Kilaini Ni Askofu Wa Dhehebu Gani?
  11. F

    Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

    Jaman Wachungaji Wa Kondoo Wanatupeleka Wp?
  12. F

    Je ipo sheria ya kupisha njia misafara ya viongozi?

    Ni Kwamba Hamna Sheria Yeyote Iliyotungwa Ila Wanatahadharisha Watu Wapishe Ili Wasisababshe Ajal Kutokana Na Mwendo Kasi Wa Magar Yao,na Mwendo Wa Kasi Ni Lazma Kutokana Na Sababu Za Kiusalama
  13. F

    Siri Ya Wanajeshi Wa Obama

    Mm Nilichojiuliza Ndo Nikaleta Huu Uz Ni Kwann Atumie Wanajesh,na Sio Madaktar hv Wanaosema Wanaenda Kujenga Hosptal Kwan Ebola Imebomoa Hosptal Na Zahanat?
Back
Top Bottom