Recent content by fungi06

  1. fungi06

    Siri kumi(10) za dunia hizi hapa

    Ila ile sehemu ni ngumu mno kupata access yake
  2. fungi06

    Wanyonge tunanyanyasika mno ila tuliowapa tunu ya kutuongoza ndio wanajua nini maana ya mema ya hii nchi

    Habari wana jamvi! Nisiwachoshe kama ambavyo hampendi kuchoshwa. Mwaka jana mwezi wa nane nikifanikiwa kutimiza haja ya moyo wangu baada ya kufanya savings ya miaka 25 kukusanya pesa ya mtaji. Nilifanikiwa kukusanya pesa kidogo na kuagizia mzigo container moja wangu, mzigo ulifanikiwa vyema...
  3. fungi06

    PreGE2025 Bado taifa la Tanzania linaitaji kiongozi Mwalimu

    Juzi nimekuta polisi inagombezwa kama mtoto kisa kontena la mh. Limechelewa kutolewa bandarini. Aise akaingia geti namba 4. Bila kizuizi... Akati kuna akina sisi tunajichanga miaka 25 kupata pesa ya mtaji. Tukiagiza mzigo unakuja fresh ila pale bandarini mzigo unaweza kukaa mpaka ukaukatia...
  4. fungi06

    PreGE2025 Bado taifa la Tanzania linaitaji kiongozi Mwalimu

    Mnajua kukhebhei sema mnajua kuwa nini tunaitaji kama wananchi,
  5. fungi06

    Siri kumi(10) za dunia hizi hapa

    Juzi niliskia mtu kafu sema ni alipoteza fahamu tu,,alivyo zinduka akasema alikua kwenye mwanga mweupe kila maali incase kwamba hata kivuli akipati nafasi kwa jinsi mwanga ulivyo mkali.. Mwanga mweupe ni kitu cha kwanza mtu ku experience akipoteza fahamu au akifa. And baada ya hapo mabayo...
  6. fungi06

    Siri kumi(10) za dunia hizi hapa

    Najaribu
  7. fungi06

    PreGE2025 Bado taifa la Tanzania linaitaji kiongozi Mwalimu

    Upo sahihi sana yani now mambo ni yanaenda kinafki sana amna mlala njaa ataamka aone chombo kinamuoji aache kusema MAMA. That's is hypocrite na naisi wanajua, utaskia; Asante mama umewezesha kodi kupanda. Awajua population imekua kubwa na sikuhizi mpaka baiskeli za umeme zinakatwa kodi.. Ila...
Back
Top Bottom