Recent content by fundi msati

  1. fundi msati

    Jinsi ya Kupata Leseni ya Biashara ya Duka la fremu

    Binafsi sijaona sababu ya kuondosha kile kitambusho cha mjasiliamali, kama kilikuwa na changamoto zinge rekebishwa tu na sio kukifuta ona sasa mlolongo umekuwa mkuuubwa kiasi cha kutengeneza fursa za rushwa na hao baadhi ya waliopo huko mamlakani kuji wekea mifumo ya kutupiga fedha eti "mimi na...
  2. fundi msati

    Je utaratibu upoje ili upate passport ikiwa imekupoyea?

    Habari zenu wana jamvi, Kuna mtu wangu wa karibu amepotelewa na passport yake je utaratibu upi afuate ili kupata nyingine Msaada jamani kwa anae fahamu na gharama zake kama zipo. Natanguliza shukrani
  3. fundi msati

    Mfumo wa internet Mbezi Stend

    Habari Wana JF, Kunajambo niliiona pale kituo kikuu Cha mabasi Cha magufuli mbezi kwanza nilikipenda kisha kikanishangaza ila kimenishawishi kukifanyia kazi. Kuna siku nilikuwa safarini kuelekea mkoani nikiwa na kisimu changu mwenyewe maisha yanaenda nilipofika Mbezi nilikuwa nimechelewa sana...
  4. fundi msati

    Naomba mnijuze gharama za leseni ya biashara kwa Dar

    Naomba link tafadhari Na vigezo vyake
  5. fundi msati

    Naomba mnijuze gharama za leseni ya biashara kwa Dar

    HABARI, poleni kwa pilika ya kutwa kutimiza majukumu ya kila siku. Ndugu zangu naomba kwa anejua taratibu za kuzifuata ili kupata leseni ya biashara na vigezo vyake pia na gharama zake hususani katika jiji la Dar es Salaam. Kama kuna uzoefu wa sehemu nyingine sio mbaya nitajifunza ila kwa sasa...
  6. fundi msati

    Mtandao wa X kufunga Ofisi zake Brazil kwa ajili ya usalama

    😂😂😂😂😂😂😂😂
  7. fundi msati

    Mtandao wa X kufunga Ofisi zake Brazil kwa ajili ya usalama

    Yani wasicho kijali ni kuwa sisi wengine hatunywi wala hatuvuti burudani ipo iyo tu😎😎😎
  8. fundi msati

    Mtandao wa X kufunga Ofisi zake Brazil kwa ajili ya usalama

    Dah ila Xni nikutamu bhana vina tiririka vitu bila vpn daadak
  9. fundi msati

    TRC yaomba radhi kutokana na hitilafu ya umeme katika Treni ya SGR

    Shida tulio jenga reli mmetutupa pembeni wamewekwa walio soma kwa madigrii wakati sisi la saba, nne, tatu na lapili mmetuacha pembeni wakati sisi ndiyo tuna jua kwa kina chamgamoto za huu mradi
  10. fundi msati

    Ni sahihi kwa mume kumfumua mkewe nywele?

    MASKINI VITOTO VYA 2000 😀😀😀😁😁😁😁
  11. fundi msati

    Kadogosa: Nauli ya Treni ya Mchongoko Dar - Dodoma itakuwa tsh 100,000 - 120,000

    Tatizo TRC nao wame tofautisha muda ukichagua ya saa 6:00 asubuh bac ni Express ordinary ni kuanzia saa 9 asubuhi nibora wange pishanisha kwa muda mchache mfano kutoka ya saa 6: yakwenda dodoma iwekwe ya saa 7: ili kupata hata abiria wanjiani kwenda moro
  12. fundi msati

    Kadogosa: Nauli ya Treni ya Mchongoko Dar - Dodoma itakuwa tsh 100,000 - 120,000

    Ewaaaa nilifika hapo ila kwenye nauli ikaja 20 au ile ya saa 6:00 asubuhi ni Express tu?
  13. fundi msati

    Kadogosa: Nauli ya Treni ya Mchongoko Dar - Dodoma itakuwa tsh 100,000 - 120,000

    HABARI WAKUU, Hii imekaaje wadau, nilisafiri na kijana wangu kipindi shule zimefunguliwa kutoka dar kwenda moro nililipa sh, 13,000 na kijana wangu ikawa ni 6,500 sasa hivi nikitaka kukata Tiket mtandaon naambiwa gharama ya mimi tu ni 20,000 asa hapa wananivuruga eti shida ipo wapi kwaanaejua...
  14. fundi msati

    Majina haya yanatoweka kwa kasi katika Jamii

    Nawalio zaa nje yandoa ndio wanaongoza kwa kuwatafutia majina mazuri ya kisasa na ia kiimani Chinguza utaona
Back
Top Bottom