Recent content by funda

  1. funda

    Naombeni msaada juu ya Tatizo langu la kifua

    Hello guys hopefully your fine,,, Naombeni mnisaidie nasumbuliwa na Tatizo la kifuaa kuuma hasa kati kati ( Sternum) maumivu nayapata wakati nikifanya any Chest movement au wakati wa kujigeuza pindi nimelala na wakati wa kuamka baada ya kulala mda mrefu ,, nimetembea hospital nyingi naku fanyiwa...
  2. funda

    Wanafunzi kukacha kidato cha 5 & 6 na kujiunga Vyuo vya Diploma, tatizo ni nini?

    Nina miaka 23 kwa sasa, form four nili pasua vizuri mnoo kila combination ya science ilikuwa inakubali but nika chagua kwenda kusoma Diploma ya Clinical medicine na penyewe nika washa moto nina GPA inayo niruhusu kwenda MD kama niki takaa .. Kwa sasa nipo nakula madili ya private hospitals. Wale...
  3. funda

    Ulifanyaje ulipoachika?

    Lonely kill faster than cigarette so ukiachwa just find replacement yo won't feel pain anymore.....
  4. funda

    Swali jamani nisaidieni

    Huko ndio naenda sina mpango na serikalini
  5. funda

    Swali jamani nisaidieni

    Sawaaa ila kwa GPA zangu hizo mbili kukosa tatu ni ngumu
  6. funda

    Swali jamani nisaidieni

    Sawa chief inakuja 3.5 kwahyo ipo vzr shukrani
  7. funda

    Swali jamani nisaidieni

    Naomba kuuliza nimemaliza diploma ya Clinical medicine NTA level 6 nakupata GPA ya 2.6 semister one afu 4.5 semister two, kwenda MD wana angalia GPA ya semister gan au toka first year ???
  8. funda

    Nataka kwenda Advance nikapige HKL niachane tu na Afya kabisa

    Habarii zenuu .. Naombeni ushauri wenu jamani , nime pata Repeat module ya CA clinical assistance , nataka kwenda Advance nikapige HKL niachane tu na Afya kabisa umri wangu ni miaka 20 .
  9. funda

    Naomba kujua kiwango cha GPA kinachotakiwa katika kudahiliwa Vyuo vya Diploma

    Tuusan una uhakika na unalolisema kuwa vigezo vimeshushwa ???
  10. funda

    Education

    Asantee nimesha karibia Sent using Jamii Forums mobile app
  11. funda

    Education

    Asantee kiongoz nimekupata Sent using Jamii Forums mobile app
  12. funda

    Education

    Asantee naomba maoni yako kuhusu hio scenario hapo juu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. funda

    Education

    Nimefatilia nikakuta kujiunga na MD ni diploma ya co with 3.5 GPA or B+ with two credit of o - level for chemistry and biology ,,, sasa mimi chemistry ina miss Sent using Jamii Forums mobile app
  14. funda

    Education

    Nataka kuitumia kutoboa kimaisha Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom