Serikali na Bunge vyote vimemgeukia Mh Mpina hapa kuna jambo
Mh Mpina kasema kweli ndio mana serikali na bunge linahangaika
TUPAZE SAUTI KUMTETEA MPINA
Hivi inakuwaje mwanaume mzima kutwa kulialia kwa mwanamke...hii imekaaje wadau kuna mapenzi kweli hapa au mwanaume anataka kamserereko?
Mawazo yenu ni muhimu
Yani kama Taifa tuna tatizo kubwa la viongozi,Mpina kawashika pabaya macho akili na masikio yote yako kwake
Tangu litokee hili la kupotea kwa huyu mtoto mpaka kifo chake hakuna karipia lolote lililotoka kutoka kwa viongozi si Rais wala Waziri Mkuu
Inasikitisha sana
Taarifa za kifo cha huyu mtoto zimeumiza mioyo yetu, mtoto wa miaka miwili kufanyiwa ukatili huu si jambo la kulifumbia macho na ilipaswa tupaze sauti tangu alipokamatwa tarehe 30/05/2024.
Uhai wa Asimwe umedhulumiwa na watu wabaya kwa sababu zao wanazozijua wenyewe lakini kama Taifa...
Tanzania ni nchi yenye vilaza wa kutosha kwa mtu smart huwezi kujivunia kabisa
Kuanzia juu mpaka chini shida tupu wajinga wengi,wajuaji wengi na wkati hawajui lolote
Utajiri wa mbongo ni kufanya kazi kuwa na nyumba na kuendesha Toyota hapo anaona kaukata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.