Hapana malipo ni kutokana na kazi unayopewa kwa mfano kabati la mdfunalipwa efu 30 mpaka 35 kutokana na aina ya kabati so kama unaweza kumaliza kabati 3 hapo ni ww na bidii yako so tunatafuta fundi hasa wa mbao ngumu kama mtiki
Habari za wakati huu?
Natafuta fundi seremala atakaefanya kazi kwenye karakana yetu, anaeweza kutengeneza kazi za mbao pamoja na MDF.
Ofisi ipo Tanga, korogwe... Sehemu ya kulala ipo vifaa vyote vipo ila kama anavyakwake itakua vizuri zaidi. Malipo ni maelewano kwa kila kazi atakayofanya...
Ndugu zangu natafuta kazi ya kupiga msasa/finishing mbao na mdf bord....
Ni mzaliwa wa Tanga ila kwa sasa nipo Dodoma.
Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote. kikubwa maelewano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.