Recent content by fss1999

  1. F

    Fundi Seremala anatakiwa

    Nicheki kwenye namba zangu tubonge fresh
  2. F

    Fundi Seremala anatakiwa

    🤣🤣🤣🤣
  3. F

    Fundi Seremala anatakiwa

    Ahsanteni nimepata fundi🙏
  4. F

    Fundi Seremala anatakiwa

    Nimetolea mfano na hilo ni kabati kwa kutumia mdf ila la mbao bei inaongezeka na ndio maana nimeweka namba kwa ajili ga maelewano
  5. F

    Fundi Seremala anatakiwa

    Hapana malipo ni kutokana na kazi unayopewa kwa mfano kabati la mdfunalipwa efu 30 mpaka 35 kutokana na aina ya kabati so kama unaweza kumaliza kabati 3 hapo ni ww na bidii yako so tunatafuta fundi hasa wa mbao ngumu kama mtiki
  6. F

    Fundi Seremala anatakiwa

    Anaeweza kutengeneza milango, kabati kifupi awe mbunifu kwa sababu tunatengenexa vitu vya oda na vyakuweka karakana🙏
  7. F

    Fundi Seremala anatakiwa

    Habari za wakati huu? Natafuta fundi seremala atakaefanya kazi kwenye karakana yetu, anaeweza kutengeneza kazi za mbao pamoja na MDF. Ofisi ipo Tanga, korogwe... Sehemu ya kulala ipo vifaa vyote vipo ila kama anavyakwake itakua vizuri zaidi. Malipo ni maelewano kwa kila kazi atakayofanya...
  8. F

    Nimecheka sana hili bango nililoona hapa Korogwe mjini -Tanga

    hapana hiyo ni barabara ya kwenda hospitali ya wilaya magunga ni hatari
  9. F

    Utabiri wangu: Rais 2025 Tanzania ni mwanamke

    dah kweli bhana
  10. F

    Tunatoa huduma ya ulinzi maeneo mbalimbali

    vipi kuhusu ajira za ulinzi
  11. F

    Natafuta kazi ya kupiga msasa/finishing mbao

    Ndugu zangu natafuta kazi ya kupiga msasa/finishing mbao na mdf bord.... Ni mzaliwa wa Tanga ila kwa sasa nipo Dodoma. Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote. kikubwa maelewano
Back
Top Bottom