Mimi ni kijana wa miaka 35, Elimu yangu diploma ya biashara, sina mtoto na sijawahi kuoa, nipo Dar, kabila mchaga, najishughulisha na shughuli mdogo mdogo. Natafuta mwenza wa kike umri 28-31, awe na elimu angalau kidato Cha nne, asiwe na mtoto, awe anajishughulisha na shughuli yoyote halali, awe...