Recent content by FRoosevelt

  1. F

    Zitto Kabwe mwenyekiti mpya kamati ya PAC

    .Bravos Zitto! Utendaji wako Makini POAC ndiyo chachu hasa ya Ushindi wako PAC. .Kwa Moto huo huo, zidisha Mapambano ya kutetea Maslahi ya Taifa.
  2. F

    Lissu: Kwa hali jinsi ilivyo, Dar ndio itakayochelewesha ukombozi wa nchi hii

    .Hakika inaonyesha kiwango cha kukata tamaa kwa watu juu ya Mageuzo hapa nchini .Dar ni moja ya ishirini na sita ya Mikoa hapa nchini,kwa hvyo kama wao mwelekeo ni kinyume cha mingine 25 si mbaya maana athari ya haitokua kubwa kama kwingineko Mageuzo yamekubalika! .Suluhisho ni kuangalia...
  3. F

    JamiiForums' FREE iPad & iPhone/iPod Touch app is now released

    Wanajamii,naomba mniambie kati ya Operating Systems za Simu zifuatazo ni ipi Bomba kwa matumizi ya kisasa ya Mawasiliano simu? .MICROSOFT phone8 .IoS 6 .Android Jelly Bean 4.1
Back
Top Bottom