Recent content by FromHeaven

  1. FromHeaven

    Mashine za tofali thread!

    Tunazo na za pink boss kama unapendelea
  2. FromHeaven

    Naomba Ushauri: Mwanamke wangu ananiambia mtoto si wangu

    Kuna wajinga wanasema uwapotezee, kiaje yaani ni akili hamna au? Mtoto si kama vile vitu ulivyomuachia au si kama mbuzi utamuacha tu. Fanya namna hata ukapime upate uhakika kabla ya kufanya maamuzi, wanawake wana upungufu wa akili usitegemee sana maneno yao.
  3. FromHeaven

    Sheikh anasema Hakuna Jina la Kiislamu au Kikristo, haya majina ni ya tamaduni za Wazungu na Waaarabu, Waafrika mnabadili majina kwa kushoboka

    Waislamu mnaokurupuka hapa mnajua kwa dalili hukmu ya mwenye kujifanananisha na watu fulani? Hukatazwi kuitwa jina la asili yako ila watu wamekuwa wakijiita majina hayo ya asili ya kiarabu kwa lengo la kujifanananisha
  4. FromHeaven

    Ostadhi kabananishwa na wanafunzi wa Madrasa juu ya Yesu kuwa Muislamu

    1.Ndiyo alimuoa akiwa na miaka 6 akamuingilia akiwa na miaka 9. Hata leo hamna katazo ktk Uislamu la mtu kuoa au kuozesha bint wa umri huo kinachoangaliwa ni faida na hasara ya jambo lenyewe kwa wakati husika faida zikizidi hasara jambo linafanyika. Na hiyo haikuwa kitu cha ajabu kwa zama izo...
  5. FromHeaven

    Nimfanyie Nini huyu Mwanamke?

    Uyo rudiana nae oa ni mke uyo, hadi sild umetoa ww, unataka nini tena na yupo single kuishi nae km mume ukamtreat fresh ni zawadi kubwa kuliko zote
  6. FromHeaven

    Binti, ukiwa na dalili hizi the jiandae kuwa single mother

    Kazia apo namba 5 kuwa na mwanamke mbishi mbishi haongozeki mnashindana ni sehemu ktk ushoga
  7. FromHeaven

    Tangu niwe na nyumba ndogo (mchepuko), ndoa yangu ina amani sasa

    Umeanza kuelewa hekima ya kuoa mke zaidi ya mmoja. Mke asipokuwa na wasiwasi wa kuachwa/mtu wa kushindana naye atashindana nawewe/atajiachia sana.
  8. FromHeaven

    Muhammad jina lililoongoza kupewa watoto waliozaliwa mwaka 2024 Oslo, mji mkuu wa Norway

    Wazungu si wanaogopa maisha hawazai acha Waarabu wawaonyesha kazi
  9. FromHeaven

    Natafuta binti Salaf wa kuoa

    Salafi umeyumba kwenye emoji ulizotumia ni katika picha.
  10. FromHeaven

    Kwanini Wakristo hawavui viatu wakiingia Kanisani? Mbona Musa aliambiwa avue viatu?

    Just a reminder na alert kwa wasiojua: Muislamu kuswali na viatu haikatazwi wala si sharti kuvua viatu muda wa kuswali cha muhimu ni mtu aangalie tu kiatu hakina najisi basi (vumbi tope siyo katika najisi) suala la kuvua viatu ni kutunza tu yale mazulia yetu sema ikazoeleka kwa wasiojua...
  11. FromHeaven

    Msaada ndugu zangu, ndoa yangu inaenda kudidimia

    Kabla ya kumjaji mkeo anza na ndugu zako hao, hujiulizi mbona wao hawafanyi ivo? Babako kukuacha ulelewe na mama km huyo pekeake alikosea ila wewe ukimuacha uyo mtoto wako alelewe na mamake tu au na mwanaume mwingine utakuwa umemsaidia mtt na jamii yote kwa ujumla.
  12. FromHeaven

    Shekhe Mazinge aja na Maji ya Upako

    Wewe unamjua yupi
  13. FromHeaven

    Je wajua kwamba Allah kwenye Quran anasema anahitaji kunusuriwa?

    Ni kuinusuru njia yake / dini yake. Na huo ni mtihani tu kwa waja wake, yeye hawaitajii viumbe wake lau angetaka angefanya yote mwenyewe.
  14. FromHeaven

    Shekhe Mazinge aja na Maji ya Upako

    Kwenye iyo 'mna..' ya wingi mimi na wanaojua mambo hata kidogo hatupo. Hapo wanabaki wajinga wasiojua, mazinge siyo shehe wala hajawahi kuwa shehe kwasabab hana elimu ni mjanja mjanja wa mjini yeye na wale wote anaotembea nao, hata kusoma Quran hajui. Na yule mwingine anayejiita Dokta ni tapeli...
  15. FromHeaven

    Shekhe Mazinge aja na Maji ya Upako

    Kwenye huo ujinga siyo mwenzangu yeye yupo na wajinga wenzake anawakokota
Back
Top Bottom