Recent content by FromHeaven

  1. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Kaka inaonekana uliweka oda ya samaki muda mrefu unasubiri wanakuambia bado meli haijashika.. Watakuua na njaa hawa
  2. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Ukanda pwani kuoa na kuacha ni kama kumsukuma mlevi. Yaani mwanamke anaachika nakuolewa hata mara tano, kwao kawaida sana

    Kwamba kung'ang'aniana na mmeshachokana ndiyo ustaarabu?
  3. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Kidini unaruhusiwa kumuoa mtoto wa nje ya ndoa - Sheikh Kulunge

    Iyo kauli ipo lakini haina mashiko na wala si sahihi kwa kutolea dalili kisa cha Jureyji kwa wanaofahamu... Yule mtoto mchanga alipoulizwa alisema baba yangu ni mchunga mbuzi fulani na hali ya kuwa mtoto huyo alipatikana kwa zinaa. Maulamaa wametolea dalili hapo kuwa mtoto wa zinaa ananasibishwa...
  4. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Mnajihurumisha na hako kanyimbo cha kijinga ila hamna mtu ameonewa mpaka hapo video ilipoishia, labda wamuonee kwa kuzuia pikipiki baada ya mwenge mwenge kupita
  5. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kuongeza ajira Nchini na kugawana keki ya Taifa

    Nchi za Asia wametoboa kwa haraka kwa program kama hizi nchi inafanya mipango ya maendeleo inayomgusa kila mtu direct na usimamizi upo serious. Tz ata diwani tu mwenye vi connection akila pesa za uma hafanywi kitu. Sioni kama kuna namna ya kufikia haya mambo tukiwa na huu mfumo wa kubebana...
  6. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Unatamani kuingia mbingu ipi? Firdaus au paradiso ya milele?

    Kwa anayetaka habari kidogo kuhusu pepo waliyoahidiwa waumini Waislamu
  7. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Bikra is Overrated

    Bikra haitafutwi kwasababu watu wanataka uchi mdogo tu it's the feeling and pride ya kupata somebody wako amna mtu amewahi kugusa, we ndo wa kwanza na maybe utakuwa wa mwisho wake. Mambo ya kushauriana kila mtu unashauriana naye kitu cha level yake. Mfano unashauriana na wanaume wenzako ununue...
  8. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Ukikuta Mwanao wa kike Darasa la 6 anaangalia Ngono, unapaswa kufanyaje kumsaidia?

    Mi mwenyewe porn nilianza kuangalia nikiwa age hiyo tena muda mwingine tulikuwa tunakaa watu zaidi ya 5 age na jinsia tofauti tunaangalia na mara nyingi ilikuwa ni kwenye mageto ya mabro au nyumba ya single maza anayeacha watoto peke yao muda mwingi. Kwaiyo sasa hivi kama mzazi najua katika...
  9. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Jinsi ambavyo Shia na Sunni wanavyochukuliana

    Wanaitwa waislamu jina..
  10. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Single maza bwana, yaani baada ya kukurudisha kwenye chati ndo umeamua kumrudia baba watoto wako

    Sahihi kaka, sema yote kwa yote mambo ya mapenzi ni complicated sana hamna formula maalumu vilio ni constant. Ila the lower the body count & commitments the safer she is.
  11. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Jinsi ambavyo Shia na Sunni wanavyochukuliana

    Kwani shida ni nini hapo, mambo yanaenda kwa ujuzi na maelekezo clear shehe anaongea hapo hajakurupuka kuna misingi ukivunja unatoka kwenye dini, dini yetu siyo kabila ukizaliwa mpare we ni mpare tu ata ukaishi China. Ongezea hapo ata anayejiita muislamu alafu haswali swala 5 nayeye amekufuru.
  12. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Single maza bwana, yaani baada ya kukurudisha kwenye chati ndo umeamua kumrudia baba watoto wako

    Watu wana watu wao, watu wametoka mbali. Alafu tatizo ni moyo, moyo siyo kama mguu unauhamisha unavyotaka unautoa huku unapeleka kule, ni kama sahv we unavyokuuma na huwezi kuutuliza kwa muda unaotaka. Huo moyo ndo umemponza single maza pia, utakuta mlikuwa mnakaa vizuri tu na anakuheshimu na...
  13. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Mashine za tofali thread!

    Tunazo na za pink boss kama unapendelea
  14. FromHeaven

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri: Mwanamke wangu ananiambia mtoto si wangu

    Kuna wajinga wanasema uwapotezee, kiaje yaani ni akili hamna au? Mtoto si kama vile vitu ulivyomuachia au si kama mbuzi utamuacha tu. Fanya namna hata ukapime upate uhakika kabla ya kufanya maamuzi, wanawake wana upungufu wa akili usitegemee sana maneno yao.
Back
Top Bottom