Kuna wajinga wanasema uwapotezee, kiaje yaani ni akili hamna au? Mtoto si kama vile vitu ulivyomuachia au si kama mbuzi utamuacha tu. Fanya namna hata ukapime upate uhakika kabla ya kufanya maamuzi, wanawake wana upungufu wa akili usitegemee sana maneno yao.
Waislamu mnaokurupuka hapa mnajua kwa dalili hukmu ya mwenye kujifanananisha na watu fulani? Hukatazwi kuitwa jina la asili yako ila watu wamekuwa wakijiita majina hayo ya asili ya kiarabu kwa lengo la kujifanananisha
1.Ndiyo alimuoa akiwa na miaka 6 akamuingilia akiwa na miaka 9. Hata leo hamna katazo ktk Uislamu la mtu kuoa au kuozesha bint wa umri huo kinachoangaliwa ni faida na hasara ya jambo lenyewe kwa wakati husika faida zikizidi hasara jambo linafanyika. Na hiyo haikuwa kitu cha ajabu kwa zama izo...
Just a reminder na alert kwa wasiojua: Muislamu kuswali na viatu haikatazwi wala si sharti kuvua viatu muda wa kuswali cha muhimu ni mtu aangalie tu kiatu hakina najisi basi (vumbi tope siyo katika najisi) suala la kuvua viatu ni kutunza tu yale mazulia yetu sema ikazoeleka kwa wasiojua...
Kabla ya kumjaji mkeo anza na ndugu zako hao, hujiulizi mbona wao hawafanyi ivo? Babako kukuacha ulelewe na mama km huyo pekeake alikosea ila wewe ukimuacha uyo mtoto wako alelewe na mamake tu au na mwanaume mwingine utakuwa umemsaidia mtt na jamii yote kwa ujumla.
Kwenye iyo 'mna..' ya wingi mimi na wanaojua mambo hata kidogo hatupo. Hapo wanabaki wajinga wasiojua, mazinge siyo shehe wala hajawahi kuwa shehe kwasabab hana elimu ni mjanja mjanja wa mjini yeye na wale wote anaotembea nao, hata kusoma Quran hajui. Na yule mwingine anayejiita Dokta ni tapeli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.