Iyo kauli ipo lakini haina mashiko na wala si sahihi kwa kutolea dalili kisa cha Jureyji kwa wanaofahamu... Yule mtoto mchanga alipoulizwa alisema baba yangu ni mchunga mbuzi fulani na hali ya kuwa mtoto huyo alipatikana kwa zinaa. Maulamaa wametolea dalili hapo kuwa mtoto wa zinaa ananasibishwa...
Mnajihurumisha na hako kanyimbo cha kijinga ila hamna mtu ameonewa mpaka hapo video ilipoishia, labda wamuonee kwa kuzuia pikipiki baada ya mwenge mwenge kupita
Nchi za Asia wametoboa kwa haraka kwa program kama hizi nchi inafanya mipango ya maendeleo inayomgusa kila mtu direct na usimamizi upo serious. Tz ata diwani tu mwenye vi connection akila pesa za uma hafanywi kitu. Sioni kama kuna namna ya kufikia haya mambo tukiwa na huu mfumo wa kubebana...
Bikra haitafutwi kwasababu watu wanataka uchi mdogo tu it's the feeling and pride ya kupata somebody wako amna mtu amewahi kugusa, we ndo wa kwanza na maybe utakuwa wa mwisho wake. Mambo ya kushauriana kila mtu unashauriana naye kitu cha level yake. Mfano unashauriana na wanaume wenzako ununue...
Mi mwenyewe porn nilianza kuangalia nikiwa age hiyo tena muda mwingine tulikuwa tunakaa watu zaidi ya 5 age na jinsia tofauti tunaangalia na mara nyingi ilikuwa ni kwenye mageto ya mabro au nyumba ya single maza anayeacha watoto peke yao muda mwingi. Kwaiyo sasa hivi kama mzazi najua katika...
Sahihi kaka, sema yote kwa yote mambo ya mapenzi ni complicated sana hamna formula maalumu vilio ni constant. Ila the lower the body count & commitments the safer she is.
Kwani shida ni nini hapo, mambo yanaenda kwa ujuzi na maelekezo clear shehe anaongea hapo hajakurupuka kuna misingi ukivunja unatoka kwenye dini, dini yetu siyo kabila ukizaliwa mpare we ni mpare tu ata ukaishi China. Ongezea hapo ata anayejiita muislamu alafu haswali swala 5 nayeye amekufuru.
Watu wana watu wao, watu wametoka mbali. Alafu tatizo ni moyo, moyo siyo kama mguu unauhamisha unavyotaka unautoa huku unapeleka kule, ni kama sahv we unavyokuuma na huwezi kuutuliza kwa muda unaotaka. Huo moyo ndo umemponza single maza pia, utakuta mlikuwa mnakaa vizuri tu na anakuheshimu na...
Kuna wajinga wanasema uwapotezee, kiaje yaani ni akili hamna au? Mtoto si kama vile vitu ulivyomuachia au si kama mbuzi utamuacha tu. Fanya namna hata ukapime upate uhakika kabla ya kufanya maamuzi, wanawake wana upungufu wa akili usitegemee sana maneno yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.