Chama cha Mapinduzi (CCM) tangia kilipoanzishwa,Kilikuwa na utaratibu mzuri tu.Kila aliyeteuliwa alikuwa akiheshimu madaraka ya mwenzie na pia kulikuwa na ustaarabu wa kutokimbilia ovyo kwa wananchi na kuwasema au kuwahoji viongozi wenzio wakiwemo mawaziri.walikuwa wanaitana kwenye vikao baina...
Una wivu wewe.hakuna watu matajiri duniani kama waarabu hata hapa Kwetu waarabu wengi matajiri kama Bakhressa,GSM,Oilcom,Lakeoil,na wengineo.Vita ya Ghaza sio ya waarabu wote.Ni kati ya wayahudi na vikundi vya wanamgambo ambao silaha zao ni Rifles tu.
Rais Putin yupo katika afya njema kabisa na ameonekana katika channel ya RT akiongea na Makamanda wake.kuhusu kudorora kwa uchumi Urusi ipo vitani lkn Uchumi wao bado imara kuliko Marekani wanaotegemea hela za waarabu wa Ghuba hasa Saudi Arabia.
Dear Madam CCM CHAIRPERSON
I hope this letter finds you well. Iam writing to bring to your attention a matter of concern regarding the appointment of an individual within the party who has been declared ineligible to enter the USA.
It has come to my attention that this individual, despite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.