Recent content by friday_Kamuzu_banda

  1. F

    JamiiForums Tanzania Mvua za mwaka huu sijui kama tutasalimika

    TMA siwaamini sana kuna simu wanasema hali itakuwa hivi mambo yanabadilika mi siwaamini mimi nina predicts kivyangu tu ha ha
  2. F

    JamiiForums Tanzania Mvua za mwaka huu sijui kama tutasalimika

    Ushenzy sasa RC, DCDO, DED hao ndio wanaleta mvua? Kama mvua ingekuwepo watu hawalimi sawa mvua yenyewe shida. Kama Dodoma watu wamepanda Mara mbili mbegu zinakaangika tu
  3. F

    JamiiForums Tanzania Mvua za mwaka huu sijui kama tutasalimika

    Mimi naishi mbeya Kusema ukweli sijawahi kupenda kulima sababu ya kunyanyaswa wakulima. Ila nimejaribu kutokana na hali ngumu. Ila mwaka huu umekuwa wa ajabu. Mwaka Jana muda kama huu mvua ilikuwa inamwagika mpaka barafu zinadondoka ila mwaka huu nimeshuhudia mvua mbili tu mpaka sasa. Dodoma...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe, ACT Imekushinda, CHADEMA ungeiweza? Umewaponza wengi

    Hivi munajua chadema ilipotoka? CDM Imeshawahi kuungana na CUF na CDM haikuweka mgombea urais wakawa wanampigia kampeni Lipumba. Chama kipya lazima kipitie kwenye changamoto ndio kiimarike
Back
Top Bottom