JKT kwa mujibu wa sheria aina mashiko hata kidogo ukizingatia unatexke na kama bahati mbaya ukafeli uwezi pewa nafasi ufanye usali wa JWTZ.. Nawashauri 4m 6 mgomeshe kwenda ili malekebisho yafanyike muingizwe kwenye system ya ajira kuliko kuteseka ukakosa chuo bahati mbaya na ajira unanyimwa...
Naunga mkono muungano wa vyama pinzani kwa asilimia mia moja kwa 7bu umoja ni nguvu pia itakuwa kazi rahsi kuidondosha ccm pia makubaliano na utekelezaji ndo jambo la mcng wanaobeza kwamba muungano autakuwa na manufaa uyo ni muongo na mnafika kwa 7bu hakuna muungan uco kuwa na makubaliano......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.