Recent content by Frexer

  1. Frexer

    Jeshi la Polisi, Tundu Lissu anawatumia ujumbe; msimpuuze

    Angekufa mngetoa kauli gani. Anauchungu na Taifa lake muacheni apambane # Tundu lisu 4rever
  2. Frexer

    Je nawez chaguliwa kwenda A-level

    ba baada ya hapo hujui hahahaha mbona unamtisha
  3. Frexer

    je kwa alama hizi aende wapi👱

    je huyu dada mnamshaur aende chuo gani na asomee course gani? English D, Kiswahili C, Geography D, Civics D. Yaliobak F.
  4. Frexer

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    samahani kama natoka nje ya mada kuna mdogo wangu ana dv.3 25 na anamatokeo history C kiswahili C english B civics D geography D biology D mathematics F. Je anaweza kwenda advance ya serikali akapangiwa shule?
  5. Frexer

    Idea

    aaah xo unashaur nitumie language ipi xx bro
  6. Frexer

    Kwa matokeo haya atapata shule ya Serikali ya sekondari kwa elimu ya juu

    but ni wakiume cos naskia wakike ndo wanapewaga nafasi
  7. Frexer

    Idea

    nataka nijifunze proggraming ila bado cjui ntaanzia wap but nimeahajifunza html kidogo tu. Nataka in the future ni establish my own website
  8. Frexer

    Kwa matokeo haya atapata shule ya Serikali ya sekondari kwa elimu ya juu

    Jamani msaada, Mdogo wangu ana ufaulu wa Division III.25 Uwiano mzuri wa ufaulu upo katika masomo ya HKL ambapo History-C, Kiswahili-C na English-B Je, atapata shule ya Serikali?
Back
Top Bottom