Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza.
Duka la sinza fremu kodi milioni, decorations za duka zinatumika milioni 10.
Halafu mtaji wa bidhaa za kuuzwa dukani thamani yake laki 7 tu.
Hivyo hivyo kwa wazazi. Mtoto primary analipiwa ada kwa mwaka...
Kumuweka mkapa juu ya kikwete na samia.. na kumpa mkapa asilimia kibao ni dharau kwa wa Tanzania.
Rais aliyeomba msamaha kwa aibu ya kuwaibia wa Tanzania anaanzia wapi kupewa parcent kubwa hivyo
Hata wewe umedanganya, Msaidizi wa mchunguji pia sio mlawi.
Walawi ni kizazi cha watoto wa mtu anayeitwa Lawi huko israel. Ambaye alikuwa ni mwana wa Yakobo kwenye biblia.
JIFUNZE ZAIDI KUHUSU WALAWI a.k.a UZAO WA LAWI
Uzao wa Lawi (Walawi)
Uzao wa Lawi ulitokana na Lawi, mmoja wa wana...
Sio kweli kwamba mlawi wa sasa ni mchungaji yeyote yule. Hata kama sio uzao wa yakobo wa israel
Hakunaga mlawi wa zamani wala mlawi wa sasa. Bali walawi ni kizazi cha yakobo mu israel
Jifunze kuhusu uzao huo
Uzao wa Lawi (Walawi)
Uzao wa Lawi ulitokana na Lawi, mmoja wa wana kumi na wawili...
Nigeria ndio nchi yenye watu wengi kuliko zote africa.
Ila yenyewe pia ilifuta kipengele cha dini kwenye sensa yao.
Nchi zote huwa haziweki kipengele cha dini wala kabila kwenye sensa zao ili kuepusha vita za kidini na vita za kikabila.
Yeyote tu hata wanaume wanapigwa.
Japo wanaume hawapigwi sana sababu mwenye page anakuwa na stock ya wadada waliomfata dm wanatafuta mchumba.. hivyo mwanaume anapewa namba za wadada halisi kweli
Wabongo ni Watu wanaojua sana kucheza na fursa.
Wamegundua wanawake wengi sana wanatafuta wachumba wa kuwaoa. Hivyo wajanja wameanzisha page instagram za kuunganishiwa mwenza kwa malipo kiasi kazaa. Na page hizo pia zinakuwa zinatoa ushauri wa mambo ya mahusiano ili kuvutia followers wajae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.