Recent content by FRESHMAN

  1. F

    JamiiForums Tanzania Unafanyaje kukusanya kodi nyumba iliyo mbali? Nishachoka

    Njia nyepesi ni kuweka mfumo wa kuwazimia umeme hata wakiwa nao kwenye luku zao. Mtu ambaye anakusumbua. Unaanza kumpiga kikwazo cha kumzimia umeme kwake. Kama upo Dar nenda katembelee nyumba za Tajiri Kishimba. Zipo buza kwa mama kibonge. Utajifunza wenzako wanafanyeje
  2. F

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Elimu ya msingi ya lazima kuwa miaka 10

    kwa sasa hivi hakuna mtihani wa kumfanya mtu kufeli darasa la sita, ndio maana wameiita elimu ya msingi, yaani ni elimu ya lazima kwa kila mtu ni miaka 10
  3. F

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Elimu ya msingi ya lazima kuwa miaka 10

    SERIKALI YATANGAZA ELIMU YA MSINGI YA LAZIMA KUWA MIAKA 10 Dodoma — Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametangaza kuanza kwa utekelezaji wa mfumo mpya wa elimu utakaofanya elimu ya msingi kuwa ya lazima kwa kipindi cha miaka kumi, akisema ni sehemu ya mageuzi makubwa yaliyofanywa na Rais Dkt...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Tazama hii video, je huyu mganga maarufu , Dr manyau nyau hapa kwenye video anafundisha utapeli ama ? Ama anasemaje ??
  5. F

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    NAMSAIDIA KUJIBU HILI SWALI LAKO WAGANGA WANATUMIA CHEMISTRY MATERIALS KUTAPELI WATU uchawi Ni chemistry ya kawaida kabisa mganga ANAAMUA kukuchezea trick za kawaida game ambazowewe uliye na ufahamu mdogo utaishia kuamini Ni nguvu za miujiza.kwa mfano Kuna elements za kemiaambazo...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha Watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza

    Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza. Duka la sinza fremu kodi milioni, decorations za duka zinatumika milioni 10. Halafu mtaji wa bidhaa za kuuzwa dukani thamani yake laki 7 tu. Hivyo hivyo kwa wazazi. Mtoto primary analipiwa ada kwa mwaka...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Kihasibu kodi ya nyumba ya kupangisha inatakiwa kuwa calculated namna gani?

    Demand and supply ndio inapanga bei ya kodi. Hapo ndipo Location factor inavyokuwa na nguvu
  8. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jirani yangu kanunua gari kali kwa biashara ya kuunganisha wachumba hewa instagram. Wadada wanalipia hela instagram ili watafutiwe wachumba wenye hela

    Unataka ukamchune hela zake anazochuna wadada wanaosaka wachumba
  9. F

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa Marais wa Tanzania kwenye kuongoza nchi pamoja na sababu zake

    Kumuweka mkapa juu ya kikwete na samia.. na kumpa mkapa asilimia kibao ni dharau kwa wa Tanzania. Rais aliyeomba msamaha kwa aibu ya kuwaibia wa Tanzania anaanzia wapi kupewa parcent kubwa hivyo
  10. F

    JamiiForums Tanzania Biblia inasema Fungu la kumi apewe mlawi, Je hapa Tanzania kuna walawi? Je wachungaji ndio walawi ?

    Acha story za ujanja ujanja. Walawi ni kabila kama ilivyo wachaga . Kuwa Muimba kwaya sio sababu ya wewe kuwa mchaga pia
  11. F

    JamiiForums Tanzania Biblia inasema Fungu la kumi apewe mlawi, Je hapa Tanzania kuna walawi? Je wachungaji ndio walawi ?

    Kuhani Mussa sio mlawi... Kwa sababu kuhani mussa sio mtoto wa Lawi na wala sio kizazi cha Lawi na Yakobo
  12. F

    JamiiForums Tanzania Biblia inasema Fungu la kumi apewe mlawi, Je hapa Tanzania kuna walawi? Je wachungaji ndio walawi ?

    Hata wewe umedanganya, Msaidizi wa mchunguji pia sio mlawi. Walawi ni kizazi cha watoto wa mtu anayeitwa Lawi huko israel. Ambaye alikuwa ni mwana wa Yakobo kwenye biblia. JIFUNZE ZAIDI KUHUSU WALAWI a.k.a UZAO WA LAWI Uzao wa Lawi (Walawi) Uzao wa Lawi ulitokana na Lawi, mmoja wa wana...
  13. F

    JamiiForums Tanzania Biblia inasema Fungu la kumi apewe mlawi, Je hapa Tanzania kuna walawi? Je wachungaji ndio walawi ?

    Sio kweli kwamba mlawi wa sasa ni mchungaji yeyote yule. Hata kama sio uzao wa yakobo wa israel Hakunaga mlawi wa zamani wala mlawi wa sasa. Bali walawi ni kizazi cha yakobo mu israel Jifunze kuhusu uzao huo Uzao wa Lawi (Walawi) Uzao wa Lawi ulitokana na Lawi, mmoja wa wana kumi na wawili...
Back
Top Bottom