Degree sio ujuzi. Bali ni theory tu.
Harmonize, nandy wala diamond hawana degree ya music ila wanaujua mziki kuliko graduate wa udsm mwenye degree ya music.
Hivyo connections wanazipata wenye ujuzi ila sio wenye degree
Mtoto wa gsm anasoma IST shule ya ada milioni 60 kwa mwaka. Ila baba yake mzee gsm ana kipato faida cha bilioni 50 kwa mwaka.
Hapo ni sawa sawa na anatumia chini ya asilimia 1 ya kipato chake kwa mwaka kumlipia ada mwanae kwa mwaka.
Sasa tuje kwako wewe unatumia asilimia ngapi ya kipato...
Burden of proof ipo kwa anaekubali. Sio anaekataa..
Wewe unakubali daktari anaruhusiwa, mimi nakataa haruhusiwi. Hapo burden of proof inakutaka wewe uweke ushahidi kunizima mimi naekataa
Yaelekea hujui kanuni ya burden of proof Kwenye sheria inafanyaje kazi
Acha uongo. Hakuna sheria inayomruhusu Daktari kupita mwendo kasi na gari yake binafsi. Labda apande bus la mwendokasi ama apande ambulance yenye mgonjwa ndani anaweza akasamehewa.
sisi tunakula nguruwe. Wapi nimesema sisi hatuli nguruwe. Acha kuhamisha mada. Jibu hoja uliyoulizwa. Hoja imetaja barua kwa wakorinto wewe unaiamisha kila mara
Nimetaja wakorintho kwa sababu kwenye hoja yangu ndio barua ya kwanza nilioitaja.. soma vizuri post yangu nimeanza kutaja watu gani kama sio wakorinto.
Jibu swali kutoka wakorinto nilioanza nao ?
Dictionary inasema character in a book is any imaginary creature that takes part in the story
Ngugi hajawai kutumia watu wa ukweli kwenye vitabu vyake. Yeye ni imaginary people ndio maana wanaitwa characters.
Ila biblia haitumii characters inatuaminisha waliotajwa kwenye biblia ni watu wa...
Ngungi hakuandika barua kwa waburundi? Ngungi hakuandika barua kwa wakenya.
Ngungi hakuwai kutaja majina kwamba nyaraka hii anamuandikia mjaluo ama hii anamuandikia mtutsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.