Milioni 5 ni pesa nyingi sana. Ikiwekezwa kwenye mambo muhimu tu. Ambayo ni chakula na vinywaji tu.
Mambo ya kijinga ndio yanayokula pesa za harusi. Kama mc unakuta milioni, mapambo milioni kazaa. Ukumbi milioni kazaa.
Lengo kuu la ndoa ni kuzaa na kuendeleza familia. ..
Biblia inasema mkazae muijaze dunia.
tambua kibailojia mwanamke ana prime age yake ya uzazi.
Sayansi inasema Mwanamke wa miaka 30 na above uzazi wake ni mgumu sana, kulinganisha na mwanamke wa miaka 18 ama early 20s
Habari wadau.
Nipo jirani na shule ya msingi MIBURANI ambayo ipo wilaya ya temeke, naona watoto wanachangishwa sana michango ya mlinzi, umeme, maji na siku ingine ya walimu ya kujitolea.
Kila mchango unalipiwa sio chini ya 2000, imagine mkondo mmoja tu wa darasa moja lina wanafunzi 80, na hapo...
Kazi zinazolipa hiyo hela kwa mwaka zipo nyingi ila ni za wenye uzoefu mkubwa.
Kuhusu biashara zinazoingiza hiyo hela kwa mwaka zipo nyingi sana. Maana hata mtu anayeingiza laki na nusu kwa siku anazidi milioni 50 kwa mwaka
1. Kitabu hiki ni kizuri kumsaidia mama wa familia kujua cha kupika bila kuumiza kichwa kwa mawazo. Mfano kama ana wageni wa ghafla kinamsaidia kuona cha kupika haraka. Kama anauguza mgonjwa pia wa magonjwa yanayotokana na lishe kama kisukari ama presha kitabu hiki kinamsaidia kujua cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.