Al ahly anajua anachokifanya. ndani ya miaka 10 iliyopita katwaa ubingwa mara nyingi sana kwa mbinu hizo hizo. za kukuachia ucheze mpira mwingi usio na madhara
Sio mikwara bali bajeti inaruhusu. Hata ndege huwa wanakodi ndege nzima ya shirika la nchi yao egypt air. Huwa Hawachanganyiki na abiria wengine kwenye ndege kama timu zetu.
Kila nchi wanayoenda ya kusini mwa janga la sahara ndio huwa wanafanya hivyo hivyo.
Huwa hawawaamini watu weusi...
Ukiona mange hajavujisha ujue kalipwa hela nyingi sana na huyo mwenye skendo.
Mange mwenyewe mafia ndio maana alikuwa anawatukana kina Magufuli bila uoga. Imagine RAIS wa nchi hakumuogopa.
Mange kamtukana Mufti mkuu wa nchi. BAKWATA mashehe wote na dua zao kimyaaa.. hata kusoma Al badiri...
Mange anawapa milioni.
Kwa wadada wa kibongo milioni ni hela nyingi.
Maana hata hao watu maarufu hawawapi hao wadada hela za maana. Hivyo wanaona bora wawarekodi wakamuuzie mange
tatizo kubwa la mashehe wa kiislamu ni kukosa shule. wangekuwa wanafika udsm wasingekuwa wanaongea vitu upuuzi upuuzi bila kufanya research
Tazama video ambayo mfalme wa Morocco mwenyewe aliejenga huo msikiti anavyokubali kwamba ujenzi wa huo msikiti ameombwa na nani ?
maana Mfalme wa morocco...
kamuoneshe huyo shehe wako hii video. Mjenzi wa msikiti huo yaani mfalme wa morocco yupo na magufuli nae yupo, na msikiti unaongelewa kabisa kwa lugha zote kiswahili na ki morocco. baada ya hapo tutajua nani anadanganya uma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.