Recent content by FRESHMAN

  1. F

    Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha Watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza

    Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza. Duka la sinza fremu kodi milioni, decorations za duka zinatumika milioni 10. Halafu mtaji wa bidhaa za kuuzwa dukani thamani yake laki 7 tu. Hivyo hivyo kwa wazazi. Mtoto primary analipiwa ada kwa mwaka...
  2. F

    Kihasibu kodi ya nyumba ya kupangisha inatakiwa kuwa calculated namna gani?

    Demand and supply ndio inapanga bei ya kodi. Hapo ndipo Location factor inavyokuwa na nguvu
  3. F

    Uwezo wa Marais wa Tanzania kwenye kuongoza nchi pamoja na sababu zake

    Kumuweka mkapa juu ya kikwete na samia.. na kumpa mkapa asilimia kibao ni dharau kwa wa Tanzania. Rais aliyeomba msamaha kwa aibu ya kuwaibia wa Tanzania anaanzia wapi kupewa parcent kubwa hivyo
  4. F

    Biblia inasema Fungu la kumi apewe mlawi, Je hapa Tanzania kuna walawi? Je wachungaji ndio walawi ?

    Acha story za ujanja ujanja. Walawi ni kabila kama ilivyo wachaga . Kuwa Muimba kwaya sio sababu ya wewe kuwa mchaga pia
  5. F

    Biblia inasema Fungu la kumi apewe mlawi, Je hapa Tanzania kuna walawi? Je wachungaji ndio walawi ?

    Kuhani Mussa sio mlawi... Kwa sababu kuhani mussa sio mtoto wa Lawi na wala sio kizazi cha Lawi na Yakobo
  6. F

    Biblia inasema Fungu la kumi apewe mlawi, Je hapa Tanzania kuna walawi? Je wachungaji ndio walawi ?

    Hata wewe umedanganya, Msaidizi wa mchunguji pia sio mlawi. Walawi ni kizazi cha watoto wa mtu anayeitwa Lawi huko israel. Ambaye alikuwa ni mwana wa Yakobo kwenye biblia. JIFUNZE ZAIDI KUHUSU WALAWI a.k.a UZAO WA LAWI Uzao wa Lawi (Walawi) Uzao wa Lawi ulitokana na Lawi, mmoja wa wana...
  7. F

    Biblia inasema Fungu la kumi apewe mlawi, Je hapa Tanzania kuna walawi? Je wachungaji ndio walawi ?

    Sio kweli kwamba mlawi wa sasa ni mchungaji yeyote yule. Hata kama sio uzao wa yakobo wa israel Hakunaga mlawi wa zamani wala mlawi wa sasa. Bali walawi ni kizazi cha yakobo mu israel Jifunze kuhusu uzao huo Uzao wa Lawi (Walawi) Uzao wa Lawi ulitokana na Lawi, mmoja wa wana kumi na wawili...
  8. F

    Wachezaji wa kiafrika ambao wanacheza kwenye ligi kuu ya England 2025/26

    Kombe la dunia la big brother ndio tunaweza kulicheza
  9. F

    Takwimu: Tanzania kuna waislamu Milioni 22 tu sawa na asilimia 34.01% ya idadi ya watu wote, halafu ukiwaambia wanakataa wanasema wako wengi

    Nigeria ndio nchi yenye watu wengi kuliko zote africa. Ila yenyewe pia ilifuta kipengele cha dini kwenye sensa yao. Nchi zote huwa haziweki kipengele cha dini wala kabila kwenye sensa zao ili kuepusha vita za kidini na vita za kikabila.
  10. F

    Jirani yangu kanunua gari kali kwa biashara ya kuunganisha wachumba hewa instagram. Wadada wanalipia hela instagram ili watafutiwe wachumba wenye hela

    Yeyote tu hata wanaume wanapigwa. Japo wanaume hawapigwi sana sababu mwenye page anakuwa na stock ya wadada waliomfata dm wanatafuta mchumba.. hivyo mwanaume anapewa namba za wadada halisi kweli
  11. F

    Jirani yangu kanunua gari kali kwa biashara ya kuunganisha wachumba hewa instagram. Wadada wanalipia hela instagram ili watafutiwe wachumba wenye hela

    Wabongo ni Watu wanaojua sana kucheza na fursa. Wamegundua wanawake wengi sana wanatafuta wachumba wa kuwaoa. Hivyo wajanja wameanzisha page instagram za kuunganishiwa mwenza kwa malipo kiasi kazaa. Na page hizo pia zinakuwa zinatoa ushauri wa mambo ya mahusiano ili kuvutia followers wajae...
Back
Top Bottom