Recent content by FRESHMAN

  1. F

    Tuwekane sawa jana Simba hawakucheza mpira bali waliruhusiwa kucheza mpira.

    Al ahly anajua anachokifanya. ndani ya miaka 10 iliyopita katwaa ubingwa mara nyingi sana kwa mbinu hizo hizo. za kukuachia ucheze mpira mwingi usio na madhara
  2. F

    Huyu Mganga alipitaje pale JKNIA?

    anamdanganya mwarabu kuhusu Quran . wakati Quran imeandikwa kwa lugha yao ya taifa
  3. F

    Al Ahly wana mikwara kama kawaida yao

    Sio mikwara bali bajeti inaruhusu. Hata ndege huwa wanakodi ndege nzima ya shirika la nchi yao egypt air. Huwa Hawachanganyiki na abiria wengine kwenye ndege kama timu zetu. Kila nchi wanayoenda ya kusini mwa janga la sahara ndio huwa wanafanya hivyo hivyo. Huwa hawawaamini watu weusi...
  4. F

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Uwezo mkubwa wa kutegemea wafadhili wawajengee misikiti mpaka zama hizi.
  5. F

    CAF Champions League: Tupia utabiri wako wa weekend hii

    Yanga 3 mamelodi 1 Simba 2 Al ahly 2 Tp mazembe 2 petro luanda 2 Esperence 4 Asec mimosas 1
  6. F

    Mamelodi Sundowns watakagua uwanja wa Mkapa kwa kutembea peku

    Mikwara yote hiyo ila wanaishia kutolewa tu.
  7. F

    Jipende, jihudumie, ili uweze kuwapenda na kuwahudumia watoto na familia yako kwa ujumla

    Wazungu wanaita Minimialistic lifestyle Ukiishi simple life hautakuwa na msongo wa mawazo.
  8. F

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Msikiti wenyewe thamani yake ni milioni 300. Ila mpaka waombe eti
  9. F

    Vijana umakini unahitajika wadada kuvujisha picha za faragha

    Ukiona mange hajavujisha ujue kalipwa hela nyingi sana na huyo mwenye skendo. Mange mwenyewe mafia ndio maana alikuwa anawatukana kina Magufuli bila uoga. Imagine RAIS wa nchi hakumuogopa. Mange kamtukana Mufti mkuu wa nchi. BAKWATA mashehe wote na dua zao kimyaaa.. hata kusoma Al badiri...
  10. F

    Vijana umakini unahitajika wadada kuvujisha picha za faragha

    Kurekodi sio lazima atumie simu. Vifaa vya kurekodi vipo vingi. Anategesha tu kwenye engo nzuri
  11. F

    Vijana umakini unahitajika wadada kuvujisha picha za faragha

    Mange anawapa milioni. Kwa wadada wa kibongo milioni ni hela nyingi. Maana hata hao watu maarufu hawawapi hao wadada hela za maana. Hivyo wanaona bora wawarekodi wakamuuzie mange
  12. F

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    tatizo kubwa la mashehe wa kiislamu ni kukosa shule. wangekuwa wanafika udsm wasingekuwa wanaongea vitu upuuzi upuuzi bila kufanya research Tazama video ambayo mfalme wa Morocco mwenyewe aliejenga huo msikiti anavyokubali kwamba ujenzi wa huo msikiti ameombwa na nani ? maana Mfalme wa morocco...
  13. F

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    kamuoneshe huyo shehe wako hii video. Mjenzi wa msikiti huo yaani mfalme wa morocco yupo na magufuli nae yupo, na msikiti unaongelewa kabisa kwa lugha zote kiswahili na ki morocco. baada ya hapo tutajua nani anadanganya uma
  14. F

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    mfalme wa morocco amekuja Tanzania mwaka gani ? na wakati anakuja Rais alikuwa nani ? na msikiti umeanza kujengwa mwaka gani ?
Back
Top Bottom