Recent content by FRESHMAN

  1. F

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Mi natafuta simu nzuri ya bajet laki 5
  2. F

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Milioni 5 ni pesa nyingi sana. Ikiwekezwa kwenye mambo muhimu tu. Ambayo ni chakula na vinywaji tu. Mambo ya kijinga ndio yanayokula pesa za harusi. Kama mc unakuta milioni, mapambo milioni kazaa. Ukumbi milioni kazaa.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa 18 to 29 hafai kwa ndoa kabisa

    Lengo kuu la ndoa ni kuzaa na kuendeleza familia. .. Biblia inasema mkazae muijaze dunia. tambua kibailojia mwanamke ana prime age yake ya uzazi. Sayansi inasema Mwanamke wa miaka 30 na above uzazi wake ni mgumu sana, kulinganisha na mwanamke wa miaka 18 ama early 20s
  4. F

    JamiiForums Tanzania Kama michango ya mlinzi, umeme na maji kwenye shule za serikali ni halali, kwanini hawataki tulipe kwa control namba na tupewe risiti za EFD?

    malipo yote ya serikali yanapaswa kulipwa kwa control namba, michango pia ilipwe kwa control namba
  5. F

    JamiiForums Tanzania Kama michango ya mlinzi, umeme na maji kwenye shule za serikali ni halali, kwanini hawataki tulipe kwa control namba na tupewe risiti za EFD?

    unamaanisha nikimpeleka medium schools, ndio malipo ya serikali yataanza kukusanywa kwa control namba ?
  6. F

    JamiiForums Tanzania JE ni kweli ndoa za zama hizi ni kama mtego wa panya ?

  7. F

    JamiiForums Tanzania Kama michango ya mlinzi, umeme na maji kwenye shule za serikali ni halali, kwanini hawataki tulipe kwa control namba na tupewe risiti za EFD?

    kwanza control namba then ndio risiti ya efd ifate, hakuna kulipa cash
  8. F

    JamiiForums Tanzania Kama michango ya mlinzi, umeme na maji kwenye shule za serikali ni halali, kwanini hawataki tulipe kwa control namba na tupewe risiti za EFD?

    Habari wadau. Nipo jirani na shule ya msingi MIBURANI ambayo ipo wilaya ya temeke, naona watoto wanachangishwa sana michango ya mlinzi, umeme, maji na siku ingine ya walimu ya kujitolea. Kila mchango unalipiwa sio chini ya 2000, imagine mkondo mmoja tu wa darasa moja lina wanafunzi 80, na hapo...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wa kizazi hiki hawataki kuolewa mapema Pindi wanapochumbiwa?

    Huo ndio uhalisia Kwa akili za wanawake wengi zilivyo
  10. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wa kizazi hiki hawataki kuolewa mapema Pindi wanapochumbiwa?

    Wanawake wanapenda kuolewa mapema na mwanaume mwenye status na hela. Mwanamke hakatai ndoa na mwanaume anayeeleweka mwenye maisha mazuri
  11. F

    JamiiForums Tanzania Ni biashara au kazi gani inayoweza kumpa mtu kuanzia milioni 50 kwa mwaka?

    Kazi zinazolipa hiyo hela kwa mwaka zipo nyingi ila ni za wenye uzoefu mkubwa. Kuhusu biashara zinazoingiza hiyo hela kwa mwaka zipo nyingi sana. Maana hata mtu anayeingiza laki na nusu kwa siku anazidi milioni 50 kwa mwaka
  12. F

    JamiiForums Tanzania NIPIKE NINI LEO ni kitabu bora cha mapishi kutusaidia tunaopata stress na kuwaza cha kupika kila siku, pia kinawafaa wagonjwa wa kisukari, presha,etc

    1. Kitabu hiki ni kizuri kumsaidia mama wa familia kujua cha kupika bila kuumiza kichwa kwa mawazo. Mfano kama ana wageni wa ghafla kinamsaidia kuona cha kupika haraka. Kama anauguza mgonjwa pia wa magonjwa yanayotokana na lishe kama kisukari ama presha kitabu hiki kinamsaidia kujua cha...
Back
Top Bottom