Recent content by FRESHMAN

  1. F

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Degree sio ujuzi. Bali ni theory tu. Harmonize, nandy wala diamond hawana degree ya music ila wanaujua mziki kuliko graduate wa udsm mwenye degree ya music. Hivyo connections wanazipata wenye ujuzi ila sio wenye degree
  2. F

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Mtoto wa gsm anasoma IST shule ya ada milioni 60 kwa mwaka. Ila baba yake mzee gsm ana kipato faida cha bilioni 50 kwa mwaka. Hapo ni sawa sawa na anatumia chini ya asilimia 1 ya kipato chake kwa mwaka kumlipia ada mwanae kwa mwaka. Sasa tuje kwako wewe unatumia asilimia ngapi ya kipato...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Jamii inapaswa kutambua kuwa, Kumshambulia Askari akiwa katika majukumu yake ikithibitika, Mahakama inaweza kukufunga MIAKA 5 JELA

    Burden of proof ipo kwa anaekubali. Sio anaekataa.. Wewe unakubali daktari anaruhusiwa, mimi nakataa haruhusiwi. Hapo burden of proof inakutaka wewe uweke ushahidi kunizima mimi naekataa Yaelekea hujui kanuni ya burden of proof Kwenye sheria inafanyaje kazi
  4. F

    JamiiForums Tanzania Jamii inapaswa kutambua kuwa, Kumshambulia Askari akiwa katika majukumu yake ikithibitika, Mahakama inaweza kukufunga MIAKA 5 JELA

    Acha uongo. Hakuna sheria inayomruhusu Daktari kupita mwendo kasi na gari yake binafsi. Labda apande bus la mwendokasi ama apande ambulance yenye mgonjwa ndani anaweza akasamehewa.
  5. F

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Dini inayofundisha kunywa mikojo ya ngamia ili upone magonjwa ndio dini imenyooka ? Karne ya 21 mtu unakunywa mikojo eti ndio dawa ?
  6. F

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    Swalli lako halihusiani na barua ya wakorinto. Acha logical fallacy
  7. F

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    sisi tunakula nguruwe. Wapi nimesema sisi hatuli nguruwe. Acha kuhamisha mada. Jibu hoja uliyoulizwa. Hoja imetaja barua kwa wakorinto wewe unaiamisha kila mara
  8. F

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    Kwenye hoja yangu hakuna sehemu niliopaongelea walawi. Acha kunitungia maneno.
  9. F

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    Nimetaja wakorintho kwa sababu kwenye hoja yangu ndio barua ya kwanza nilioitaja.. soma vizuri post yangu nimeanza kutaja watu gani kama sio wakorinto. Jibu swali kutoka wakorinto nilioanza nao ?
  10. F

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    Dictionary inasema character in a book is any imaginary creature that takes part in the story Ngugi hajawai kutumia watu wa ukweli kwenye vitabu vyake. Yeye ni imaginary people ndio maana wanaitwa characters. Ila biblia haitumii characters inatuaminisha waliotajwa kwenye biblia ni watu wa...
  11. F

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    Ngungi hakuandika barua kwa waburundi? Ngungi hakuandika barua kwa wakenya. Ngungi hakuwai kutaja majina kwamba nyaraka hii anamuandikia mjaluo ama hii anamuandikia mtutsi
  12. F

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    Mtoa mada amekukosea nini mpaka useme hivyo ?
Back
Top Bottom