Recent content by Freseme

  1. F

    Msaada kupata mafao NSSF baada ya kuachishwa kazi

    Aisee. Mimi mwezi umeisha ila bado bilabila
  2. F

    Bunge lapitisha muswada wa marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii

    nadhani kuna mabadiliko mengine yanatakiwa hasa katika FAO la kukosa ajira. Sheria inasema Aliyeachishwa kazi atalipwa theluthi moja ya mshahara aliokua analipwa kabla ya kuachishwa Kazi kwa miezi sita tu. Ni bora akaendelea kulipwa mpaka atakapopata Kazi, au salio la michango litakapokwisha
  3. F

    Tarehe 23 ya NSSF inavyonipa presha na kuniweka roho juu. Niombeeni please!

    Hapana na mimi nimefungua madai nssf temeke tarehe niliyopangiwa inakaribia. Nilitaka kujua kama tarehe inafuatwa
  4. F

    Mafao ya Kupoteza Ajira

    Hata Mimi nimeandika barua kuomba kulipwa michango yangu baada ya kukaa miezi zaidi ya 18 tangu kulipwa FAO la kukosa ajira. Mpaka sasa bilabila
Back
Top Bottom