nadhani kuna mabadiliko mengine yanatakiwa hasa katika FAO la kukosa ajira. Sheria inasema Aliyeachishwa kazi atalipwa theluthi moja ya mshahara aliokua analipwa kabla ya kuachishwa Kazi kwa miezi sita tu. Ni bora akaendelea kulipwa mpaka atakapopata Kazi, au salio la michango litakapokwisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.