Assalam Alaykum
In the name of Allah the most gracious, most merciful.
All praise and thanks are due to
Allah, and peace and blessings be
upon His Messenger.
Habari mkuu.Kwanza kabisa naomba nikupe pole because inaonyesha wazi kabisa kwamba, hujui chochote kuhusu mavazi ya kiislam, let...
Assalaam Alaykum
Heshima yako mkuu.First of all inaonekana wazi kwamba you know nothing about Islam.Naona unajisifu waislam wamekukimbia.Hawajakukimbia bali wamekupuuzia,because your points are too irrelevant to attract highly intellectual Muslims.
kuhusu swali lako la kwanza,and I quote...
Assalam Alaykum
Shukran ukhty.Hakika mimi nina ilm ndogo sana na namshukuru Allah kwa kuniruzuku ilm hiyo japo kwa uchache.
By the way shukran dada kwa ukumbusho kwa huyo jamaa juu ya kuoga j****a na kutia udhu kabla ya kugusa THE HOLY QUR'AN.Tuendelee kuelimishina In shaa Allah kheri...
waalaykumu ssalaam al-akhiy
Naaaam! nami nakuchungulia kwenye telescope hapa.Kwa upako ulionao naona kuna dalili ya misukule kukukimbia hapa.
teh teh teh
keep up the good work
Salaam Rafiki
teh teh teh
Naona leo umekuja bila hata Salaam,sijui ndo divai inafanya kazi au ndo stress za maisha?..just kiddin lol.
Hivi mkuu uliielewa kweli ile post yangu? Naomba nikukumbushe tena kwamba Saudi ni Islamic holy land. So ni responsibility ya wananchi wake kuwa holly...
Mkuu Al akhiy KomboJr
Samahani kama nimekukwaza ndugu yangu. Lakin nadhani hujanielewa. Am a muslim,and najua wapi kwa kupatia ushahidi, nimeutafuta lakini sijauona that's why umeona nimeshangaa.
Na pia najua kama huu ni upuuzi na ni uzushi but kwa elimu yangu ndogo nlojaaliwa na Allah...
mkuu
let me correct you kidogo.Hakuna dini iliyokataza matumizi ya nyanya bali n kikundi cha watu kadhaa wasiojua walitendalo..Nadhani ni islamic brotherhood. Otherwise kama hutojali utuonyeshe ushahidi wa maandiko ya dini hiyo yanayo-forbid matumizi ya nyanya
Have a good night mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.