Hakumaanisha kuwekeza ktk mitandao isipokuwa wingi wa wanaopata hbr motomoto ni wale waliopo kwenye mitandao hii ingawa %kubwa IPO nje ya mtandao,tuendane na hali iliyopo kimaendeleo
Pili chadema ni kweli wanawashika sana koo serikali na ccm yenyewe ambapo wamepata wkt mgumu tangu uchaguzi mkuu...
Nani kakuloga kwa hiyo xtata
Ujui Uhuru FM,TBC FM na TV ni mali ya chama?
Ikumbukwe tanzania ni ya chama kimoja nacho kijulikanacho km CHAMA CHA MATATIZO ''CCM""
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.