Ndugu watanzania wenzangu, nasikitika kuwaona ombaomba wengi katika eneo la Ubungo mkoani Dar es salaam na maeneo mengine ya mikoani wakiwa katika maeneo hayo kila siku. pamoja na kuwasaidia fedha kidogo msaada huo hautoshi kuwaondoa pale walipo kutokana na hali zao za kutokuwa na uwezo wa...
propaganda zenu zisizo na mashiko hazituvunji moyo masomi.
CCM imepindua maendeleo na kuleta umaskini na sasa inajishughulisha na CHADEMA.
MWISHO WENU UMEFIKA.
Wanazuoni na wasomi mbalimbali toka katika vyuo vikuu nchini wakishirikiana na makada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na wananchi wote wataelekeza nguvu zao zote kulikomboa jimbo hili ambalo ni sawa na halina mbunge kwa sasa kutoka katika ukoloni mpya wa chama cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.