Recent content by fredrick litunda

  1. F

    Watetezi wa 'scorpion' walikurupuka

    Hata kama yeye alikua ni mwizi adhabu haikua sahihi ikiendelea namna hii tutapoteza watu wengi hata wasio na hatia mfano wale wezi wanaokuibia na kuanza kupiga kelele kuwa wewe uliyeibiwa ndio unayetaka kumuibia,sasa kama tutakua tunachukua hatia mkononi situnaweza kuua watu wasio na hatia.yani...
  2. F

    Kutokujua Sheria za Soka Chanzo cha Malalamiko ya Goli la Yanga!

    Mzee mwanakijiji nashukuru sana kwa maelezo mazuri kwasababu hatubishan bali tunaelezana,hiv maradona halifunga gori gani vs england then watu waengland walibehave kama sisi,hatuna uvumilivu kisoka embu angalia hata tabia za wachezaj wetu zilivyokuwa uwanjani yani sio professional players kabisa
  3. F

    Matokeo ya kidato cha pili ya mwanafunzi aliyeshambuliwa na walimu

    Mimi naona source ni huyo mwanafunzi maana ukweli ni kuwa ukiwa na tabia nzuri hakuna mwalimu atakayekupiga vile,wengine tumesoma shule za jeshi tumeona watu wakipigwa zaidi ya ile na kuroll kwenye tope na mitaro lakin sio wote ni wale watukutu,wengine tumetoka hata hatujawahi kukutana na hivyo...
  4. F

    Ukweli kuhusu shape ya Dunia

    Ukimwaga maji juu yatarud tu chin hii n kwasababu ya nguvu ya dunia kuvuta vitu towards itself,can u tell us what exactly happens to create horizon?.Mwisho ningeomba tuheshimu imani za mwezetu hata kama kwako si kitu maana lugha ilotumiwa na mwanzisha mada sio nzuri kwa kwel kama yeye ni mtanzania.
  5. F

    Ukweli kuhusu shape ya Dunia

    Kama dunia ingekua flat nadhan tungekua na edges yan mwishon mwa hiyo flat surface lakin pia kuhusu maji kupanda mlima ni simple mlima always ni elavation from the earth's surface that means away from the earth therefore gravitation force g inaforce kila kitu kuvutwa kwenye dunia hata...
Back
Top Bottom