achane kuwa wavivu wa kufikiri, kwa reference ya loyora tu one zipo kumi na tano,achane kudanganywa na wanasiasa watoe majawabu matatizo,na sio kua kama mtaji!
hakuna ambaye hasitahili kulaumiwa ktk hili wazazi ,jamii nzima wala serikali, tuangalie mfumo wetu wa malezi kwa watoto wetu, mfumo wa elimu na si kawambwa kama kawambwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.