naamini nyimbo zangu ni nzuri kama ntapata studio, na producer mwenye viwango vya ukweli, nimeona waimbaji wengi wanarekodi za mitaani na nyimbo zao zinaishia tu mtaani kwao, cjui tatizo nnini. nisingependa initokee ivyo, natamani kutoka.
wadau kwa waelewa wa studio za kurekodi nyimbo za injili yenye viwango vya hali ya juu mnisaidie kuijua na bei zake ikiwezekana.
...shukrani kwa msaada na ushauri wenu...
Huo undugu wetu na wapalestina unatokea wapi? hata kama nyerere alikua rafiki na palestina ni yeye si TANZANIA YETU WALA WATANZANIA. Hata ulimwengu mzima ungeungana leo na palestina hakuna atakaeweza kuiondoa YERUSALEMU KATIKA MIKONO YA ISRAEL. ISRAEL NI TAIFA TAKATIFU LA MUNGU. TENA ALAANIWE...
si ajabu akijinyonga! Hata shujaa anapoona kaekWa kati na hakuna uwEzekano wa kuokoka huamua kujimaliza kuliko kudhalilishwa na mahasimu wake. Kauli ya pinda, jumlisha vitendo vYa kinyama wanavyotendewa raia wema Kwa kutetea haki zao vinachangia kutishia amani ya wasema kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.