Recent content by Freddienda

  1. F

    Malisa ampinga kwa fact Polepole kuhusu CCM kuiletea maendeleo Moshi

    Kisiasa tu Dodoma imeitwa jiji lakini kiuhalisia na kwa kufuata vigezo Moshi ndio jiji
  2. F

    Rais Magufuli sasa imetosha, waambie trafiki wako barabarani watuache tupumue

    Acha wivu kwa wamiliki magari.. Inaonekana ata pkpk huna, sheria za barabarani na wanachokifanya matraffic kwa uonevu hata haukielewi unaropoka tu
  3. F

    Waliompa tuzo ya uchumi Magufuli wabanwa maswali, washikwa kigugumizi

    Mnajisumbua bure na kupanga tafiti, God is under control ivyo aibu itaendelea kuwapata tu na Kila Kiki mnayopanga itajulikana maana mnashindana na Mungu, Jiwe haliwezi kuwa keki!
  4. F

    Tundu Lissu akosoa kauli ya Rais Magufuli kuwa CCM itatawala milele

    Uandishi gani wa kijinga namna hii! Habari nusunusu kaa nayo mwenyewe vinginevyo utaonekana zuzu
  5. F

    Makonda amuomba ruhusa Rais Magufuli awashughulikie wote wanaoikosoa Serikali. Mnatakiwa kupongeza na kusifia TU

    Usiseme asichokijua maana anajua hili.. Sema asichofikiri maana afikirii maisha baada ya uongozi!
  6. F

    Is Tanzania a primitive State?

    Our president could have sent a representative eg.minister,US ambassador himself sent only an assistant to represent him...tumekabidhi nchi kwa watu washamba, this statement sounds true now
  7. F

    Singida, Iramba: Mkutano wa Mwigulu Nchemba wafurika, awataka wananchi wasisononekee Uwaziri

    Uyu tayari ana Permanent Head Distortion(Phd) ivyo mnapoteza muda kumjadili,kwa madongo yote aliyopewa siku anatimuliwa uwaziri ni mwendawazimu tu anayeweza kuvumilia
  8. F

    Joseph Mbilinyi (Sugu) : Serikali ilinifunga jela kwasababu inaniogopa

    Polisi yote iilihamia Mbeya, Mngewaacha waandamane mngeona moto wake,alipewa ulinzi mkubwa kuliko Jiwe.. Mbeya Sugu kapata kura nyingi kuliko Magufuli na ndo kinachowauma,Magu Mbeya hapendeki
  9. F

    Makamu wa Rais, Samia Suluhu akutana na Mkuu wa Kanisa KKKT, Dkt. Fredrick Shoo

    Huyu Dr.Shoo kichwa kizuri sana iyo phd yake sidhani km ni ya bongo..maana phd za bongo tunazijua uwa zinazalisha wezi,wauaji na mazombie
  10. F

    Joseph Mbilinyi (Sugu) : Serikali ilinifunga jela kwasababu inaniogopa

    Serikali ina mihimili mitatu; Mahakama/judiciary, Bunge/legislature, Na Serikali kuu/executive, Ivyo wewe ndo mjinga tena mbumbumbu haswa usiejua kuwa hakimu aliemfunga Sugu yuko serikalini pia, Ujinga wenu ndo mitaji ya wezi walioko ccm.. Badala ya kumuuliza m/kiti wenu zilipo tril.1.5 now...
  11. F

    Joseph Mbilinyi (Sugu) : Serikali ilinifunga jela kwasababu inaniogopa

    Tusi gani alilotukana? tuambie ili tuanze kufungua kamusi, Taja hilo tusi tuchambue vinginevyo utakuwa umeandika ujinga tu
  12. F

    TID: Diamond naye wanataka kumuua, sijui wanataka kumuweka nani

    News ya ovyo kabisa...watz lini tutaacha kushabikia udaku? Mtu na akili zake anaweka uzi km huu! Mnatuaribia wkend na low IQ zenu
  13. F

    Porojo za siasa za waraka, washindani wetu Afrika Mashariki wanazungumza na Dunia

    Kauli ya Uhuru Kenyatta kuwa maendeleo ya watu kwanza vitu baadae imetrend sana,Odinga sio mjinga kukubali maridhiano na Uhuru. Uhuru kaongeza kusema kuhusu uhuru wa kutoa maoni na ametambua umuhimu wa democracy kiasi cha kufananisha na daraja la Maendeleo,Uhuru hakuwahi kushaini namna hii...
  14. F

    Kwanini Dkt. Kalemani hakamatwi na Polisi kuhusiana na kushambuliwa kwa risasi kwa Tundu Lissu?

    Ujinga ni mzigo... Wewe hujui kuwa hizo kamera ni mali ya umma/serikali na zimenunuliwa kwa hela yetu ya kodi!? Raia yoyote ana haki ya kuhoji zilipo kamera hizo
Back
Top Bottom