hizi zote ni stori za kipuuzi tu kuanzia ukristo uislamu na hata za mizimu zote ni ujingaa
kfikiria kwa namna hii
unajua ni kwanini ilikua rahisi watu kuacha asili zao na kuwa wakristo?
sababu waliokua wakiabudu walitaka kuona matokeo ya ukwelii lakini haikotokea mfano vita ya kinjekitile...
lijana angu jana ulivyokuwa hupatikani nikajua umejinyonga[emoji23][emoji23][emoji23]
ndio mademu walivyo esp wanawake wa tanga na zanzibar huwa wanaolewa na umri mdogo tena huyo 24 kachelewa sanaa
at our age bro inatakiwa tutumie akili sana kuliko emotion
ila itapita tuu ndio unapata...
Nimesoma mitazamo ya watu kibao kwenye huu uzi hadi sasa sijapa jibu kwa maana najiuliza maswali kama yako
Sitaki kuamini sayari zote gaĺaxy zote universe nzima ni binadamu pekee ndio tunachomwa
Halafu walioandika bible waliiandika kipindi hakuna elimu yoyote ndio maana wamesema mungu kaumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.