Habari za siku ndugu
Well naulizia kama kuna chuo chochote hapa TZ ambacho kinatoa masters ya course tajwa hapo juu na ada yake kwa ujumla
Sio mbaya pia kama mkanisaidia kunijuza kama kuna chuo chochote cha nje ya nchi ambacho kinatoa course hiyo tajwa ngazi ya masters
Natanguliza shukrani
Habari wadau wa jf
Mwenye kujua menu ya kucheki driving license kama inadaiwa au gari kama inadaiwa naombeni mnijuze kwa njia ya simu(tigo)
Nmjrb kucheki webste nkkta these menu *152*75* lkn kila nikijarbu inagoma...mwenye current means of checkng anisaidie
Niwatakie weekend njema
Habari
Nimeshusha mzgo wa fifa 19 muda si mrefu, nime~install na kuwza kuifungua the game but it tells me directx error...nmejrb kudownload directx 11 bila mafanikio
Mwenye ujuzi wa haya mambo naomba anisaidie..
Specfction za my pc
Lenovo thinkpad T430
Processor intel i5-3320M 2.60 GHZ
Ram 8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.