Recent content by Frateline

  1. F

    Legacy ya Prof Haroub Othman Miraji

    Your legacy as a principled man, human rights activist and gifted scholar will remain with us forever. rest in peace my professor-in this world, we are all just passers-by, tangulia tunakuja
  2. F

    Prof. Haroub Othman Afariki Dunia

    Hi guys kutoka Helsinki MSIBA WA KUSHUTUA SANA Mimi kama member wa UDASA-nimezipata habari za kifo cha professor-kupitia UDASA mails kwa mshituko mkubwa sana. Professor Othman alinifundisha pia alikuwa ni mshauri wangu katika mambo ya academic hasa hasa masomo yangu ya PhD. Alikuwa ni mtu wa...
  3. F

    Pres Obama's Trip to the Muslim World: A New Partnership

    Hi guys Kwa kweli hii ni sehemu ndogo sana ya wanaisraeli-mimi nimefuatilia reactions za watu mbali mbali dunia hasa hasa parestine,Afghanistan,Europe and Arab world in general, kwa kweli hotuba imekubalika, hawa walevi wachache kwenye baa ni mtu kawapiga picha ya video na kuweka kwenye YOU...
  4. F

    Issa Michuzi na vekesheni

    This is Frateline , Hi Guys kutoka Helsinki Kwa kweli jamii forum hapa mnaonyesha uzembe hii sio mada ya kujadili ni majungu tu, Kwanza hakuna asiyejua ni kiasi gani Issa Michuzi anatuunganisha watu wengi tunaoishi ughaibuni, breaking news zake zinatufanya tuwe karibu na home, kwanza mimi...
  5. F

    Tamko la Rostam Aziz dhidi ya Reginald Mengi na yatokanayo. Amuita fisadi Nyangumi

    Napenda kuchangia ugomvi wa Mengi na rostam Aziz, ni vyema Rostam Aziz akaweka wazi kama ambavyo ametakiwa na wanasheria wa mengi, sisi watanzania tunataka kuja Rostam Aziz yeye biashara yake ni nini? na Je jina la kampuni yake ni ipi? mbona biashara za mengi kila mtanzania anazijua, kukopa sio...
Back
Top Bottom