Very interesting. Shilling "hamsini hamsini" nyingi zilizokusanywa kwa ajili ya pole ya bwana Kimaro na ile "hamsini" nyingine iliyodondoka kutoka kwenye kirobo kule korongoni....................endelea kutupa story tunasubiri
Hatena mfumo elekezi wa kisera nod maana kila kiongozi anakuwa anakuja na mitazamo yake ambayo anataka ifanyiwe kazi! Jaribu kuangalia kuna waziri alikuja akaunganisha masomo yote ya sayansi nakufuta baadhi ya masomo ikiwamo michezo, tulikuwa na division kwenye matokeo ikaonekana mfumo haufai...
Bila hata chembe ya ushabiki wa kichama nawiwa kusema kuondoka kwa ZZK kwa kiasi fulani kutaishusha CHADEMA. Sipendi kuamini kila kitu kinachosemwa kuhusu usaliti wake ila naamini zaidi katika utendaji wake "kama mpinzani ndani ya bunge". Alikuwa ni jembe kwa kweli na kama alivyosema PASCO hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.