SAsa ww kama unadhani na hauna uhakika ulikuwa na haja gani ya kukosoa mawazo ya mwenzi,usipindishe ukwwli,mh.Trump kazuia ajira za ndani isipokuwa zile za kijeshi as our president did....
Suala la kukamatwa na kupelekwa rumande haliwiani na suala la upelelezi,bali hutokeA pale wanapohisi umetenda jambo ambalo ni kinyume cha sheria....Ila suala la kupelekwa mahakamani ndo linategemea kukamilika kwa upelelezi wa kosa husika
Kila mtu anawajibu na haki ya kuunga mkono jitihada za serikali katka kuliletea maendeleo taifa letu,no matter yu ccm ama cdm....Maendeleo ni ya wa Tz wote.....Hongereni wapinzan mnaowatumikia wananchi wenu ktk kuwaleta maendeleo na aman!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.