Yah mi sishangai kwan walitaka wenywe labda liwe fundisho kwa nchi nyingine kuwa mkimpta mtetezi mlinden mpka tone lako mwisho la damu na sio kumsaliti na kushangilia.
Ukitaka kujeng golofa lazima uchimbe halizin kwa ajili ya msing himala.
Hivy at ikiwa elf tano poa sin shida Kam badae nitakaa zang gholofan.
We unayetumia dola kahamie inakopand au USA ok.
Namanisha hivi
Kam unangalia mvuto kwa wanaume hautampata mwanaume mweny mvuto....
Ila Kam utatafuta anayejua thaman ya mwanamke we mwenyew utafurah n kunikumbuka
Wangekua wauaji usingelikua na kuandika hivyo..... Wangekua mafisad kama unavywaza wew ungelipta hat hiyo smartphon unayotumia...... Wangelikua na Roho mbaya ungelikua mkimbizi wew nchi za watu..... Wachaw usingelikua unajitmbua kwa ss ungelikua zezet....... Na madikteta hata uhuru wa kuropoka...
KIUKWELI HAKUNA. WANAUME ANAYEWEZA KUCHEPUKA KUTOKA KWA MWANAMKE MNYENYEKEVU.
Japo weng wao huwa WANYONGE badala ya kunyenyekea ndio maan mnasem hivy ulivyouliza hapo [emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Walio wengi wa wasichana wanakibilia peny kipato na kuwaacha wapendwa wao wakiyalaan mapenz. Na wao kwa bahat mbaya walioweng hawafanikiw kilichowapelek kule tatzo nini? Kufunguka ruksa ila xo mapovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.