JamiiForums Tanzania
Fedha
*MAMBO YA FEDHA*
*Kuna jamaa alipewa shilingi 3987698237982...acha uvivu, najua hujasoma ni kiasi gani hicho cha fedha na mbaya zaidi hujagundua kwamba katikati ya namba hizo kuna herufi T...safi sana, najua umeangalia tena kuiona hiyo herufi, bahati mbaya...