Recent content by frank ngowi

  1. frank ngowi

    Biashara ya mikate

    nimekuelewa mkuu shukrani sanaa
  2. frank ngowi

    Biashara ya mikate

    habari za muda huu wana JF, Naomba kuuliza kwa biashara ya mikate ya jumla inahitaji mtaji kama kiasi gani na vipi kwa wenye experience inalipaa? yaani ni ile nainunua na kufanya delivary kabisa kwenye madukaa..ahsanteni na naomba ushirikiano wenu
  3. frank ngowi

    Naomba kujua kiwango cha GPA kinachotakiwa katika kudahiliwa Vyuo vya Diploma

    ahaa shukrani sana ndugu maana nlikua na mkanganyiko apaa
  4. frank ngowi

    Naomba kujua kiwango cha GPA kinachotakiwa katika kudahiliwa Vyuo vya Diploma

    nimeuliza maana nikisoma ile guideline ya TCU naona kwa course za afya qualifications ni GPA ya 3.5 sasa mkanganyiko ndo unanijia apo
  5. frank ngowi

    Naomba kujua kiwango cha GPA kinachotakiwa katika kudahiliwa Vyuo vya Diploma

    habari za muda wana jf, naomba kwa wataalamu au wanaofahamu au ambao wameshafanyaga application kwa mfano NTA LEVEL 4 nlipata GPA 3.0 LEVEL 5 GPA 3.0 na LEVEL 6 GPA 3.6 je udaili wa kusoma degree kwa vyuo vya afya wanaangaliza wastani wa gpa za level zote au ni hiyo ya mwisho tuu?
Back
Top Bottom