Recent content by Frank john komba

  1. Frank john komba

    ratiba ya mafunzo ya mgambo

    Nenda Hadi ofisi ya mkuu wa wilaya kutana na mshauri wa mgambo utachukua fomu utajanza then utaambiwa lini uje au utapigiwa simu siku ya vipimo sawa
  2. Frank john komba

    Mm ni derava Nina leseni class a b d e natafuta kazi ya udereva wa kuendesha watu binafsi

    Naomba kazi ya udeleva naomba kazi kuendesha watu binafsi au hata kwenye kampuni yoyote nopo tayari kufanya kazi popote pale ila kwa sasa nipo dar es salaam
  3. Frank john komba

    Mm ni derava Nina leseni class a b d e natafuta kazi ya udereva wa kuendesha watu binafsi

    Mm ni kijana mwenye imani ni nimekulia ktk mazingila ya kidini naombeni msaada wangu 0779132370
  4. Frank john komba

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Kwa mm ninavo fahamu koboko ni nyoka mwenye sumu Kali Sana na yeye huwa unauma kuazia kiunoni kwenda juu yaani sehemu ambazo huwezi funga kamba Wala kutiba kwa haraka ila Sasa hakuna nyoka mpole km koboko koboko anazuru pale tu anapo sumbuliwa na ndomana anapenda kukaa kwenye poli nene lisilo...
Back
Top Bottom