mkubwa wangu niko mkoani na ni wirayani kilicho changamsha ni makazi ya watu ,wanafunzi wa chuo na sec pia pana barabra kubwa ya kuunganisha mikoa na mkoa
Naitaji mawazo yenu ndugu nina kazi ya kuniingizia kipato kidogo sana ambacho hakiwezi kusongesha maisha ya mimi na familia yangu kisipo pata sapoti kutoka vyanzo vingine .......Nina kiasi cha TSHs 2,000,000/= nilipo kumechangamka kiasi lakini najaribu ku plani biashara nakwama mawazo yenu kwa...
Naombeni msaaada wa jinsi ya kutumia maneno haya mawili HEKIMA na BUSARA yamekua yakinichanganya katika matumizi kushindwa kutofautisha lipi litumike wapi.
Itakua vizuri ukinisaidia mfano.
Ni miongoni mwa misemo ya kiswahili ( Metheli) ya wahenga sina uhakika kama karne hii yupo alie kuwapo kabla ya ujio wa methali hii nimefundishwa darasani kwa levo zote za elimu yangu na pia nimefundishwa na walimwengu nje ya darasa lakin bado tafsiri imekua tatizo kwangu tunatofautiana uelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.