Hugo alikuja hazimi hawashi hana msaada wowote kitika chama bora alivyoondoka Mimi naona kachelewa sana kuomdoka chama kinakuwa safi mafisadi wakala wao waondoke wote chama kiwe safi
Mfano mzuri 2010 waliojiandikisha walikuwa milioni 21. Waliopiga kura milioni 8:6 sasa tizama gepu ilivyokuwa kubwa na chadema ya Dr slaa ilikuwa moto kwa hivyo Mwaka huu kama itaongezeka idadi ya wapiga kura labda basi milini 10 au 12 milioni hapo ACT Anakula vichwa milioni 150, ADC laki 5...
Waongo wakubwa hizo picha ni mkutano Wa Maalim Seif alipohutubia kiembesamaki jimbo LA mpendae mpezuga wanafiki hao Mimi Niko Pemba hakuna kitu kama hicho
Hiyo ni dalili ya kushindwa ameshaona mambo magumu hawakumtegemea Maghufuli atawateka na kukubalika na wananchi kama ilivyo sasa wamefanya utafiti wamegundua Maghufuli atachulua nchi sasa wanatafuta kisingizio cha kukataa matokeo kwani 2010 si waliyakataa matokeo nini kilitokea mwisho wao...
Mfumo ni MTU akiwa mchapa kazi kweli kweli hana matajiri wanao mzunguka yanawezekana msidanganye watu Maghufu Jembe kila MTU atakaa sawa waliokuwa hawatampenda ni mafisadi na majizi yaliyozoe njia ya mkato .
Huo ndio ukweli hao wawili ndio waliyoimaliza nchi hii Leo wanawasingizia ccm haijafanya kitu wakati wao ndio waliovurunda nchi hii hiyo miaka 19 moja kakaa miaka 10, mmoja 3, wanafiki masikini nawaonea huruma watu wafata mkumbo tu kiza kinene kipo mbele yao
Huyo askofu kwanza Mimi nasema muongo hakuna Mungu Wa namna hiyo amuoteshe fisadi awe Rais , Hawa viongozi Wa dini wengi ndio tulioambiwa manabii Wa uwongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.