namfua masakia
Senior Member
- Sep 27, 2015
- 178
- 150
Kama idadi ya wapiga kura waliojiandikisha kote nchini ni zaidi ya milioni 23, basi hakuna hata chembe ya shaka kuwa EL atapata ushindi mkubwa 25/10/2015. nimejaribu kufuatilia mwamko na hamasa waliyonayo watanzania na hitaji kubwa la MABADILIKO nimegundua JPM anakwenda kubwagwa vibaya hata yeye mwenyewe anajua. mikutano ya kampeni ya ccm imejaa ujinga mwingi wa matusi,kuchezesha wasanii na kusahau kunadi sera jambo ambalo linazidi kumpaisha Lowassa. kwa muda ambao ccm imekuwa madarakani haikutakiwa kujinadi kwa kutoa ahadi mpya bali kwa mafanikio waliyoyatekeleza. PIGA KURA, LINDA KURA - LOWASSA RAIS....