Habar. Mi nataka kuuliza je kama nmepata leseni ya biashara na tin no. Na nikaanza kufatilia till ya mpesa na haijatoka ni mwez wa pili. Vp naweza kwenda TRA ili waifunge iyo tin no. Ili ihesabike kama haifanyi kaz. Maana baada ya miez 3 inabidi kulipia tena kodi ilobaki, na sijaanza kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.