Recent content by Franciscoabushiri

  1. F

    Nimeshtushwa sana na maneno ya huyu mwanamke

    Mhhh kama an_comand uyo atakupelekesha mwisho wa siku ni vitasa ndoa itavunjika tu. Maana swala la kazi uwa ni kusaidiana au vip wadau
  2. F

    Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

    Iyo ni kweli mzee baba. Me mwenyewe nakumbuka nilipima nikabadilika sana mienendo. From my heart. Kinga muhimu wadau
  3. F

    Maisha baada ya kubainika kuwa upo HIV+

    Vizur kuweka wazi[emoji7] [emoji7]
  4. F

    Nimemuona kipendacho roho JF

    Hahahaha mike Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
  5. F

    Msaada: Jinsi ya kuwa wakala M-Pesa, Tigo-Pesa na airtel money

    Habar. Mi nataka kuuliza je kama nmepata leseni ya biashara na tin no. Na nikaanza kufatilia till ya mpesa na haijatoka ni mwez wa pili. Vp naweza kwenda TRA ili waifunge iyo tin no. Ili ihesabike kama haifanyi kaz. Maana baada ya miez 3 inabidi kulipia tena kodi ilobaki, na sijaanza kufanya...
  6. F

    Mheshimiwa Rais tunaomba uondoe malipo ya overtime serikalini

    santeee na hali ilivo tit sa iv akae
Back
Top Bottom