Tulikuwa bar fulani hivi mhudumu akabadilisha chanel akaweka hotuba ya rais ohoooo!!!! Kidogo watu wavunje tv .ondoaaaaa!!! Ondoaaaaa!!!ikabidi aweke BBC VATICAN Mazishi ya papa!!kiukweli mama kapoteza mvuto
Wakati unasoma habari za Polisi na Chadema ukiwa umefura kwa hasira dhidi ya mateso wanayopitia vyama vya upinzani mara paaap UNAKUTANA NA HABARI KAMA HII YA ARUSHA
Mimi naona mtu kama unakuwa na ujasiri wa kutukana na kukosoa viongozi wa kidini,ni matokeo malezi mabaya ya kukulia mtaaani na maeneo ulio kulia unakuta ni ya kihunihuni tu.kila mtu unamwona muhuni mwenzio
Wewe ni mpuuuuuzi,Mshenzi ,na nikuambie huna uwezo wa kujibu huo waraka.wewe na elimu yako ya darassa la saba ni wa kujibizana na Askofu .umekosa adabu kweli.ulaaani kumbafu sanaa
MImi nimeweka mtaji wa ml.5 kwa ajili ya kubet kila cku. nakula,navaa,nasomesha, na nimejenga.Watu wanaa ndio wanaumiza akili huyu vipi mbona hana kazi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.