Recent content by francis mbifile

  1. francis mbifile

    Ukishangaa ya Mussa!

    Kupigw risas kwa Tundu lissu ni ndani ya chama chao wao wenyew ko serikali wala rais hawez akaingilia mgogoro wa chama kingine
  2. francis mbifile

    Ukishangaa ya Mussa!

    Una ushahidi!
  3. francis mbifile

    Nchi 10 zenye watu wenye furaha Afrika

    Mozambique na Congo(watu sio wajinga bwana)
  4. francis mbifile

    Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

    Awe ACT wanakuja kwa kasi sana na kuna uwezekano mkubwa wa kuwa chama kikuu cha upinzani
  5. francis mbifile

    Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

    Swala maendeleo yalikuwepo bhana,sisi wanyonge wa hali ya chini ndo tunajua umuhimu wake maswala ya kuu sijui kupiga risasi hayo ni maswala yenu ya kisiasa kwani siasa ni mchezo mchafu!
  6. francis mbifile

    Kila nikikaa naona nchi ina Ombwe la Uongozi

    Hata walibya walisema Gadaf dikteta ila saiz ndo wanaelew!!!
  7. francis mbifile

    Kila nikikaa naona nchi ina Ombwe la Uongozi

    Naona utakuwa ukipita ukiandamana kwenye flyover alizojenga Magufuli katika utawala wake,Magufuli alifanya kazi bwana hata nidhamu kwa watumishi wa umma ilikuwepo kwa sababu alikuwa serious kwenye mambo ya maendeleo.Demokrasia ipo tu,tunawwza tukawa na demokrasia lakini tuna barabara mbovu na...
  8. francis mbifile

    Sijaelewa kuhusu Dkt. Mwigulu kukopa Trilioni 5 ili kulipia Hati Fungani za serikali zilizoiva

    Yaani hapo kodi zinakusanywa,pengine kuna watu wanajimilikisha kodi zetu
  9. francis mbifile

    Godbless Lema: Vijana wote mnaoendesha bodaboda, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa

    Ko hawa wanaoshinda kwenye vumbi la makaa ya mawe huku Njombe wataishi milele?
  10. francis mbifile

    Moodys wamekuja nchini kutathmini cha kuuza endapo tutashindwa kulipa mikopo?

    Ndugai alikuwa sahihi sana sema basi tu, alikosa wakumuunga mkono
  11. francis mbifile

    Kama Hayati Magufuli alitumia Udikiteta kuanzisha ujenzi wa bwawa la Nyerere basi udikiteta ndio njia nzuri ya kuongoza

    Utawala wa kidikteta ni mzuri sana sema haudumu mda mrefu ila unakuwaga na maendeleo sana,kwa kiongozi mwenye akili sio kama wakina Mobutu
Back
Top Bottom