Recent content by franakim

  1. franakim

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    [emoji15] [emoji15] Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  2. franakim

    Siri: Lipumba aja na agendas mfukoni

    Lipumba yupo kwa kazi maalum ya kuiua CUF, ni kama Mrema kipindi cha NCCR Mageuzi
  3. franakim

    Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

    Hii sinema inasisimua sana
  4. franakim

    UN wamuhoji Waziri wa Mambo ya Nje juu ya suala la Zanzibar

    Kweli tutasikia mengi. Yetu macho na masikio Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  5. franakim

    Unyonyeshaji bora wa maziwa ya mama na maziwa mbadala iwapo ni lazima

    Du hio kali, yaani mru kuona ziwa mtu akinyonyesha abake!
  6. franakim

    Mhubiri afa maji baada ya kujaribu kutembea juu ya maji kama Yesu

    Huyo alichofanya ni kumjaribu Mungu, na imani yake haikuwa kwa Mungu bali mashetani
  7. franakim

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mtandao wenu hapa Kinyerezi upo chini sana, kupiga simu ni kwa shida, internet ndio kabisa huwezi kufanya chochote. Njoni mshuhudie wenyewe kwani nimekuwa natoa taarifa hizi mpaka nimechoka sasa imebidi niwahame. Ukiwa Kinyerezi mwisho ukielekea kaskazini mashariki kilometa 1 tu unapoteza...
  8. franakim

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    inaelekea mnara wenu Kinyerezi mwisho una matatizo au haufanyi kazi au labda eneo lile hamna mnara labda tunahudumiwa na mnara wa mbali sana. Mawasiliano kwa ujumla ni mabaya sana, kupiga simu shida wakati wowote mnara unashuka na simu inakatika, wakati mwingine mtu wa upande mwingine humsikii...
  9. franakim

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    mbona hamjibu hoja yangu hapo juu!
  10. franakim

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mbona hamtaki kuboresha network hapa Kinyerezi mwisho. Hali ya mawasiliano ya voda si nzuri kabisa hapa, inabidi tutumie mitandao mingine kutumia voda hapa ni majanga
  11. franakim

    Mamia ya wananchi wafurika jijini Dar kwa Nabii anayedaiwa kuponya watu UKIMWI

    Manabii wa uongo tu hao. Wanachotafuta ni pesa tu, wanapandikiza watu kwa malipo kutoa shuhuda za uongo ili kuwavuta watu wakusanye sadaka na zaka wanufaike
  12. franakim

    Mume wangu kwa wiki mara moja tu, ndoa ina miezi miwili

    Mitafute 0755797155 turidhishane , na mimi wangu ananipa mara moja tu kwa wiki, nimechoka sasa
Back
Top Bottom