Wewe ndugu yangu hamna kitu kabisa hivi unajua mizigo 90% ya Uganda inapita Mombasa!!!...Nani alikwambia 1450 kilometers ni ndogo kuliko 900 kilometers!!!..
Unataka ajitafakari kwa kupata credit za kutosha ndio maana nikasema siasa ni hesabu na biashara Kali sana Hadi uweze kuicheza vizuri inahitaji akili nyingi sana!!!...
Watu wanashindwa kujua kila mtu Ana interest zake itakuja kufikia tutaanza kusema kondeboy mbona Hana media yake!!!...au tutaanza kusema mbona Ay au Sugu hawajafungua media!!!...
Kwani Barakoa ndio ina zuia Corona au maji tililika!!!..Kama Barakoa ingekua inazuia Corona nadhani wachina wasingepata huu ugonjwa kwasababu wachina wengi maisha Yao huvaa barakoa!!!...Barakoa ni Kinga ya hewa chafu lakini siyo kirusi hiki Cha Corona ndio maana tunaambiwa tuoshe mikono Mara kwa...
Naomba ni
Naomba nikurekebishe kidogo,Gari za kupewa na kununua Zina utofauti kidogo!!!...umeona hammer aliyokua nayo Gwajima ni left hand kwasababu alipewa lakini kuna zilizopo hapa sana sana mwanza na Arusha ni right hand!!!...Gari ya kutoa order kiwandani nadhani utawaambia unataka right...
Wanapenda Kiki ndio shida!!!... Tanasha angekua kapewa Gari kweli angeondoka nayo!!!...tumemwona Hamisa na Rav 4 yake kwanini Tanasha hajachukua gari aliyopewa Kama zawadi!!!... Biashara matangazo
Ukweli hausemwi!!!...Gari hizo ni za matangazo (Kiki) Tanasha alipewa gari Kama tangazo haikua zawadi kweli!!!... magari hayana kadi ndio maana Tanasha hawezi kuchukua
Ruzuku na mfuko wa Jimbo Sawa kabisa lakini huko wanapolia ni Jimbo la ccm au ulitaka mfuko wa Jimbo la Hai na Ruzuku ya Chadema ndio ikawasaidie huko, wakati chama Cha mapinduzi kinapata Ruzuku zaidi na kina vitega uchumi vingi!!..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.