Recent content by forumer

  1. forumer

    JamiiForums Tanzania E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

    Na wale waliotumbuliwa makazini huko kwa mambo hayo hayo huruma yao unayo? Acha kuongea tu kama Huna cha maana piga kimya.
  2. forumer

    JamiiForums Tanzania E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

    We zombi wewe,utaingizwa mpingo kwa akili zako hizo
  3. forumer

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kitanda used

    Mi nashangaa Yani kuweka picha tu mbinde kweli kweli...
  4. forumer

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Traffic Toarch

    We traffic police wewe si bure..
  5. forumer

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Huyo jamaa povu la foma gold limemmwagika nyumba si zake anazitolea mishipa ya shingo. Nyumba Bila udalali inawezekana [emoji16] [emoji16]
  6. forumer

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Waambie hawa watu mimi najaribu kuwaeleza lakini wabishi..
  7. forumer

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Watu washachukua nyumba washaingia kukaa Bila dalali na mambo muswano tu Acha maneno mingi.unaleta hoja za kizamani eti nyumba mazindiko sijui nini..upepo wa pesa ngumu huu mambo ya kukaa uwani kupiga domo usubirie simu za udalali ndio yanaishia hayo ohoo anzeni mchakato wa kutafuta ishu...
  8. forumer

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Fungueni uzi wenu madalali wanaohitaji huduma yenu watawafuata huko mbona Ni rahisi tu kuanzisha thread. Hizo tabia tu Ni kama wale madalali "tuliowazoea",vurugu na kujitia uenyeji mahali pasipowahusu.
  9. forumer

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Natafuta nyumba ndogo ya kuishi maeneo ya mbezi beach,africana,mjimwema kigamboni,iwe fenced.
Back
Top Bottom