Ndg. Wanajukwaa wenzangu, Naomba kulipanda Jukwaa hili la Utawala Bora na uwajibikaji katika utumishi wa umma. Nashukuru kwa kupata Nafasi ya Kupaza sauti Na Nakusema. Natambua Mchango Mkubwa wa "HUDUMA BORA NDANI YA NCHI YETU". Inayotolewa na Utawala Bora Wa Serikali ya Awamu ya Sita, Chini ya...
Changamoto za hya makabila yetu yanasifa fulan +na - ambazo wengine tulizikita nakuzisikia Sasa ndio kipimo Cha Maisha yetu wengine unaulizwa tu hivi we Ni kabila gani? Ukijibu tyari ushapewa nafasi yko Kama kabila lako
Kwahiyo me Naona Tuunde kabila Jipya[emoji41]
Of course hta me sipendi nijurikane, lkn Ukabila Upo Ila umepoa tu. Hasa Sisi wa Kanda ya ziwa ukutane na wa kaskazn Mama. Utafanya kazi Mbili hapo Ofisini
Najua huenda hujaendesha gari la umeme au hata hujawazia kununua gari hilo, Unaambiwa Ufunguo wa Mafanikio Ni kuanza Mapema, kabla ya Muda kufika. Kuna Wakati Sisi hapa Tanzania, Vituo vyote vya Mafuta, Hatuta kuwanavyo Badala yake Tutakuwa na Vituo vya kuchaji.
Tuko katikati ya mapinduzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.