Recent content by Fortunatus Buyobe

  1. Fortunatus Buyobe

    Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

    Kule kwangu imeisha kabisa Telegramm. Kumbe huku inaendelea asee sikujua bwana
  2. Fortunatus Buyobe

    Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

    Ingekuwa sikuheshim Ingekuwa sikuheshumu ningekujibu. Hebu leo acha shetani apitie mbali.
  3. Fortunatus Buyobe

    Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

    kwa jina naitwa Fortunatus Buyobe au ukipenda niite ndimu mkata shombo. Kwanza naomba nijibu hoja yako moja kwa haraka sana bila kuikawiza 1. Kwamba nimekukopy na hadi nimechukua picha zako. Swali ni, ni wewe ndiye umezipiga picha hizi? Kama sio unajimilikishaje hakimiliki? 2. Kwa msisiti...
  4. Fortunatus Buyobe

    Naliona anguko la Ramaphosa kama la mtangulizi wake Zuma

    Tarehe 9 mwezi wa pili mwaka 2020 Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa alikuwa mkutanoni Jijini Adis Ababa Ethiopia. Huko nyuma nchini kwake katika shamba lake la wanyamapori la PHALA PHALA lililopo Jimbo la Limpompo linatokea tukio la kuvunja na kuiba. Mfanyakazi wa ndani wa Rais pale...
  5. Fortunatus Buyobe

    A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

    Wewe ni mwizi wa kazi yangu. Usingetoa jina la mwandishi isingekuwa tabu. JamiiForums naomba niripoti kwamba huyu amecopy kazi yangu na kupaste hapa. Nitaleta nakala ya kazi halisi alipoitoa. NB nimekubaini wewe ni member kwenye channel yangu ya telegram ulipotoa kazi hii. Najua jinsi ya...
  6. Fortunatus Buyobe

    A - Town Gangsters walioitikisa Arusha kwa matukio ya uhalifu

    Wewe ni mwizi wa kazi yangu. Usingetoa jina la mwandishi isingekuwa tabu. JamiiForums naomba niripoti kwamba huyu amecopy kazi yangu na kupaste hapa. Nitaleta nakala ya kazi halisi alipoitoa. NB nimekubaini wewe ni member kwenye channel yangu ya telegram ulipotoa kazi hii. Najua jinsi ya...
  7. Fortunatus Buyobe

    SoC01 Upelelezi ukiwa mbovu, hata uendesheji wake wa mashtaka utakuwa mbovu

    Haaaa Nashukuru sana . Nimecheka san kwa kweli
  8. Fortunatus Buyobe

    SoC01 Upelelezi ukiwa mbovu, hata uendesheji wake wa mashtaka utakuwa mbovu

    Chini kabisa ya uzi wangu utaona kuna namba pale baada ya maeneo ya kulike na kureply. Bonyeza hiyo namba utakuwa umenipigia kura. Natanguliza shukrani zangu
  9. Fortunatus Buyobe

    SoC01 Upelelezi ukiwa mbovu, hata uendesheji wake wa mashtaka utakuwa mbovu

    Kitufe kipo chini kabisa baada ya thread yangu. Kwa mfano sasa hivi nina kura 7 hapo kwenye namba saba ndio unatakiwa kubonyeza kupiga kura yako
Back
Top Bottom