Recent content by Forforty

  1. Forforty

    Naanza kuiona Tanzania iliyobadilika. Watanzania hawasikilizi propaganda za uongo za Wapinzani

    Airport kubwa kama ya Dar, kuwa kitovu cha utalii kanda ya ziwa, Mbuga ya wanayama ya kutengeneza, uwanja mkubwa wa mpira, chuo kikubwa cha ufundi cha veta, bohari kubwa ya dawa ya (MSD)
  2. Forforty

    GE2020 Secretary Pompeo azungumzia kinachoendelea Tanzania kuhusu mambo ya Uchaguzi

    [emoji23][emoji23]kumbe mnaogopa eee!! Si mnajidanganyaga kwamba tunajiweza bila mabeberu? waulizeni Zimbabwe ndo mtajua.
  3. Forforty

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    Mbona huchoki kukoment bidada? Unarudia mara kumi kumi au wewe ni mwanakondoo wa Gwajiporn?ndo amewatuma mje huku kuleta hizi fujo?mwambieni boss wenu ni mchafu sana hawezi pata kura Kawe.wanakawe wanajitambua sio wapumbavu wa kuongozwa na mcheza sinema za ngono.
  4. Forforty

    GE2020 Mpaka sasa Rais Magufuli ameshakiuka kwa kiwango kikubwa sana ahadi yake ya kuwepo uchaguzi wa huru na haki. Najua alichowaza mpaka akaahidi hivyo

    Wewe mtu mmoja unakuja kujibu comment moja badala ya nyingine, hujishtukii mzee?? Mfaidika nini wa ujinga unaondelea? Acheni kudanganywa kwamba mnaweza kujiendesha wenyewe fatlia Zimbabwe kwa umakini ndo utajua nguvu za hao mnaowaita mabeberu.
  5. Forforty

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

    Huijui kigoma ungefunga bakuli lako.ni kikwete peke yake ndo alkuwa na mapenz na kigoma.miaka5 sasa toka Jamaa aingie barabara ni zilezile aloziacha kikwete umeme bado niwa generator una ongea nini wewe? Uwe unaenda ubungo kuangalia mabasi yanayotoka kigoma uone yalivyojaa vumbi.abiria utafkiri...
  6. Forforty

    GE2020 Nawamegea siri: 'Bakuli la Lissu' lijazwe michango, linasaidia kuruka kiunzi kikuu mwaka huu

    Sura yako uloiweka kwenye profile ni nzuri wala haiendani na matamshi ya kishamba yanayotoka kwenye kinywa cha mtoto mwenye sura nzuri hivyo eti "anakura =anakula" "Nirichanga=nilichanga". Nilijua uko vizuri upstairs kumbe kichwa chenyewe ndo kinatapika errors hivyo?hufai hata...
  7. Forforty

    GE2020 CHADEMA, TBC TV wanawaharibia kampeni ya mgombea Urais wenu Tundu Lissu; chukueni hatua sasa na haraka kabla hawajaharibu zaidi!

    TUNAKUONYA MILLARD UKIENDELEA KURIPOTI HABARI ZA UCHAGUZI KWA UPENDELEO TUTAANZISHA KAMPENI YA KUKU UNFLOW HIYO PAGE YAKO MPAKA UBAKI NA FOLLOWERS 100. LEO UMERIPOTI HABARI ZA CHAMA KIMOJA TU UTAFKIRI TL HAJAFANYA MKUTANO WA HADHARA LEO.
  8. Forforty

    Ni kweli kama ulijiandikisha Mpwapwa siku ya kupiga kura ikakukuta Muheza hautoruhusiwa kupiga kura hata ya kumchagua Rais?

    Habari wana JF, Nimepita mahala nimesikia Watu wakibishana hili jambo kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Wengine wakisema unaruhusiwa kumchagua Rais tu Ila mbunge hautoruhusiwa kwakuwa sio eneo lako la makazi lakini wengine wakisema huruhusiwi kumchagua yeyote kwakuwa namba yako ya...
  9. Forforty

    Kishindo cha Rais Magufuli bomba la mafuta Tanzania - Uganda

    Unajitoa ufaham kabisaaa kwasababu ya buku7? Umeona wapi mradi unasainiwa mara mbilimbili Tanga 2016 na Leo tena? Mmesha yakoroga tulieni mtayanywa mtamuomba mpaka Trump aje kuwasaidia campaign. TL kawashika pabaya wasanii watakula sana hela za chama Mwaka huu[emoji23][emoji23]
  10. Forforty

    GE2020 Gwajima, dharau hizi hutafika popote

    Watakaompa kura Gwajima ni wenye akili ndogo kama nyie vijana wa mbogamboga, Kawe ina Watu wasomi wanaKawe sio wale kondoo anaowajaza pale kwenye zile banda zake ubungo. CCM hamna sera mmekalia tu madaraja, barabara ndege mara ntapeleka vijana Japan kupata mafunzo ya kuendesha...
  11. Forforty

    Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

    Nakubaliana na hii hoja.hii ni campaign tu hakuna kingine.
  12. Forforty

    GE2020 Gwajima, dharau hizi hutafika popote

    Angekuwa na akili nyingi asingeomba huu msamaha. Sisiem wenye akili walishaondoka toka mwenyekiti apunguze posho mmebaki nyie wafia tumbo.Hivi buku 7 inakutosha kweli kushinda humu mtandaoni?
  13. Forforty

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Hizo lugha chafu ni zipi? Na ni mgombea gani kazitoa?
  14. Forforty

    GE2020 Tundu Lissu: Katika miaka hii mitano kila Mtanzania awe ni tajiri au maskini ana hadithi yake ya maumivu

    Toka mwenyekiti apunguze posho kwa UVCCM, vijana wote wenye akili CCM wameondoka mmebaki vilaza na wafia matumbo kama nyie ambao mnaandika WEREDI badala ya WELEDI. Na bado polepole atawanyoosha tu, na sasaiv wanampango wa kuipunguza hiyo buku7 sijui mtaendesha vipi maisha yenu.
Back
Top Bottom