Nashangaa sana kwa nini SUA mnajiweka nyuma kiasi hicho yaan mpaka sasa waliochaliwa Sua hatujui hatma yetu. Yaani mnashindwa mpaka na hizi mushrooming Universities??
Sasa hapo ndio Napata wasiwasi kama ni za ukweli mbona huyu dogo kaandikiwa YOUR SELECTED halafu kwenye hiyo iliyoliki hayupo?? je kuna uwezekano hiyo mpya watakayotoa iwe na jina lake??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.