Recent content by foreigner

  1. F

    Mara ya pili sijapata gawio langu la Vodacom kupitia DSE – msaada tafadhali

    naona kama napigwa siasa, nikienda account ipo active.
  2. F

    Mara ya pili sijapata gawio langu la Vodacom kupitia DSE – msaada tafadhali

    Wakuu, naomba msaada wenu wa uzoefu na ushauri. Mimi ni mwekezaji wa hisa za Vodacom Tanzania (VODA) kupitia DSE/CDS account. Tatizo nililonalo ni kwamba hii ni mara ya pili sasa sijapatiwa gawio langu. Nimejaribu kufuatilia kwa pande husika lakini majibu yamekuwa yanapingana: Nikipiga...
  3. F

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Inakera sana, ma meneja na wahasibu rangi nyeusi.
  4. F

    Mnadili vipi na mwanamke ambaye ni careless

    Ni shida, Mimi nimeshaambiwa nina gubu hadi na wakwe zangu. Siongei siku hizi.
  5. F

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    XX, XY. Logically a chance for male is 25% and females 75%. Equilibrium is not balanced.
  6. F

    Kwanini ukioa, familia inakutazama kwa mambo hasi tu?

    Nani kakuambia uniandike hapa?
  7. F

    Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

    Uneendelea kukosa adabu, " ujinga ujinga " gani unauzungumzia?
  8. F

    Mke kazidi mizaha

    Hahahaha, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tupo sawa sasa baada ya kikao kirefu.
  9. F

    Hivi mliwezaje kuishi mbali na watoto wenu?

    Nakushauri usimlete kwenye familia yako ya sasa, utaishi kwa shida sana. Nilifanya hivyo, maisha yalikuwa magumu sana, namshukuru Mke wangu baadae alikuja kuelewa baada ya vikao vingi vya kwao. Jenga mazingira mazuri ya mama na mtoto huko waliko, wajengee, wape nahitaji Yao muhimu (nyumba...
  10. F

    Je, alichofanya ni sahihi kuondoka na mtoto bila kuniambia?

    Mtoto wa miaka 4 tena wa kike anaanzaje kumkataa baba yake, inaonekana kuna sumu ulishaanza kumlisha.
  11. F

    Nahitaji kumchukua mtoto wangu

    Anza kuwa karibu na mtoto, muoneshe upendo mtoto tena uwe extra, usitume kitu Cha mtoto kwa mama kabla haujaongea na mtoto, na uwe unamwambia vitu ulivyotuma. Sometimes mpe nafasi aseme anavyotaka mwenyewe (mtoto). Usiache kumpa zawadi anapofanya vizuri darasani, pia usiache kumkemea...
  12. F

    Binadamu mnashindwaje hata na jogoo?

    Endelea na tafiti yako. Jogoo mmoja tetea 8-10, ukimaliza uje uandike hapa na utushauri pia wa baba ( jogoo warefu)
Back
Top Bottom