Recent content by fordzz

  1. fordzz

    Nilinunua soundbar ya Sony watts 400, 5.1 channels hata sijaielewa!

    Mkuu na mm na huo mkito aisee hapo walijipinda aise
  2. fordzz

    Hakuna single mother anaweza faulu huu mtihani, ndio maana wanaonekana miyeyusho

    Hebu nipe maelezo yakinifu hapo make nami yameshamikumba alikuwa na wa kiume, miez 5 tu chali
  3. fordzz

    Hakuna single mother anaweza faulu huu mtihani, ndio maana wanaonekana miyeyusho

    Ndaaah hii inanihusu aisee, mm ndan 5 chali akaondoka aiseee
  4. fordzz

    Yapi matumizi sahihi ya p2?

    Nduuuh!! C useme kuwa ulikuwa ni ww!?
  5. fordzz

    Waarabu na Wahindi wanawezaje ku-manage biashara kubwa wakiwa na umri mdogo?

    Wahindi ndo jadi wao mkuu mm nimefanya kwa wahidi huu mwaka wa 10, ila wanaheshim sana neno biashara unakuta mtoto anasomeshwa somo la biashara akiwa mdogo bado anapokuwa rikizoni anatenbelea biashara za mzazi wake
  6. fordzz

    Nikiamua kuacha kazi, mfuko wa PSPF watanipa stahiki yangu?

    Hiyo namba mbili inawahusu hata wafanya kazi wa binafsi? Make mm hapa nina miezi 188 mpaka sasa hivi nafanya kaz kwa kampuni binafsi
  7. fordzz

    Gari imegoma kuwaka, abiria akaomba kushuka

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  8. fordzz

    Gari imegoma kuwaka, abiria akaomba kushuka

    Ndaaah aisee huu uzi ni balaa , mkuu umeua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
  9. fordzz

    Ni kipi kipindi bora cha asubuhi kwenye radio?

    Ndaaah hapa umenikuna, nataka kujua kwann east redio , siku hizi wameacha vipindi vyao muhim sana ambavyo vilikuwa vinanifanya kila nikiamka lazima niwashe redio, kama kipind cha afya yako, kisha kipindi cha mind setting? Kwann siku hiz hivyo vipind havipo?
  10. fordzz

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Wakuu mimi natumia simu redmi note 5pro, ila kioo kimevunjika, nahitaji kioo ila bado inafanya kazi
  11. fordzz

    Wamiliki wa BMW Shikamooni

    Hata mm nina ndoto za kumiliki Benz mzee! Maana kuna jamaa huku Bukoba ana dinga ya Benz full time ni mwanga tu kwa mbele mzee ndaaah!! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. fordzz

    Njia Gani nzuri ya kusoma sms na calls za mtu (mpenzi) bila yeye kutambua

    Hebu fafanua vizur mkuu hapa nataka nifanye vle mkuu
Back
Top Bottom