Asante sana mkuu, nitalifanyia kaz hilo , juzi mkuu niliomba kwa kutumia/ kunena kwa dam ya yesu Kristu, niliota kuwa nimetoka kazin, wakat nipo nyumban nikaangalia mfukoni nikajikuta nina ufunguo wa kazin kwetu nimeusahau mfukoni hii ndoto ina maana ngan mkuu?
Mkuu na mm kuna mke hadi wa leo huwa hatuongeleshani aliondoka kwa kosa dogo tu na ni mambo ya familia yangu na yake kutokuelewana , sasa amekuwa ni mtu wa kunitukanisha mama hadi mm na kunilaani na kunichukia mim na mama yangu , ni maneno ya ajabu sana ya kunitukanisha mm na mama yangu , sasa...
Na nawezaje kufungua sasa hivyo vifungo vya giza na kufuata upande wa nuru ? Maana nikijiangalia na jinsi nilivyosoma topic ilivyo najiona nipo tofauti kabisa kimaisha, kimahusiano, nikioa mtaka na mwanamke miezi kadhaa anaondoka pasipo sabbu yoyote ya msingi, ulevi kwa saana , nahisi haya yote...
Sasa mkuu wacha nami nirudi nyuma ama kwa hili waweza nisaidia, ni kuwa mm nimezaliwa kuja kujitambua nina Chale mwilini, sasa kwa vile ni utoto unachukulia kawaida na hapo huwez muuliza mzaz kwa nn hizi chale zipo mwilini mwangu, na hapo hapo wazaz wanahudhulia makanisani, nasi tunafuata mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.