Wahindi ndo jadi wao mkuu mm nimefanya kwa wahidi huu mwaka wa 10, ila wanaheshim sana neno biashara unakuta mtoto anasomeshwa somo la biashara akiwa mdogo bado anapokuwa rikizoni anatenbelea biashara za mzazi wake
Ndaaah hapa umenikuna, nataka kujua kwann east redio , siku hizi wameacha vipindi vyao muhim sana ambavyo vilikuwa vinanifanya kila nikiamka lazima niwashe redio, kama kipind cha afya yako, kisha kipindi cha mind setting? Kwann siku hiz hivyo vipind havipo?
Hata mm nina ndoto za kumiliki Benz mzee! Maana kuna jamaa huku Bukoba ana dinga ya Benz full time ni mwanga tu kwa mbele mzee ndaaah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.